Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
Wanaanza kujidhihirisha uhusika na lile tukio

Safi sana watajiumbua kwa vinywa vyao wenyewe
 
Mama amekosa heshima huyu. Sasa asubiri majibu ya Genius wetu. Lissu usiliachie hili likapita, lazma huyu bibi awekwe sawa jukwaani mbele ya macamera na Watanzania nzima.

Halafu mama nae anavi-issues vyake watu wanakaa kimya tu. Sasa ni muda muafaka kuviweka hadharani.
Amechokoza mzinga wa nyuki huyo mama .

Hafanani kabisa na ishu hizo anazoongea hapo .

Nilikuwa namheshimu sana kumbe ndio wale wale

Ukikaa karibu waridi utanukia waridi tu

So sad

Tuna viongozi makatili kiasi hiki jamani duuuh!!

Kwamba kupigwa risasi Ni jambo la kawaida .

MUNGU tunusuru sisi watanzania [emoji120][emoji849]
 
Nikm alivo huyu wa Elimu..

Anapenda dogodogo mbaya.

Maza anapigwaa rungu na serengeti boyizi.
Huyu wa Elimu najua kuna kijana ni lecturer wa MUHAS anatoka nae, yaan afu sikuamini hata lol. mambo yao hovyooh.
yule wa ajira, vijana na walemavu, aliua mumewe na sasa analea kibenteni. [emoji23][emoji23][emoji23]Dunia inaenda kasi hii lol.
 
Ukikaa na shetani na wewe utakuwa shetani

Hakuna aliemsafi ndani ya CCM
Kaongea ukweli mtupu, 16 bullets na mtu hajafa, lazima zipigwe na an inexperienced shooter, serikali isingeweza kuweka maboya namna iyo, hutaki, pita hivi.
 
Kaongea ukweli mtupu, 16 bullets na mtu hajafa, lazima zipigwe na an inexperienced shooter, serikali isingeweza kuweka maboya namna iyo, hutaki, pita hivi.
Mungu kamlinda masiha wake
Ili aje atuvushe waTz
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.

Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?

Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Umemsahau marehemu CHACHA WANGWE aliutaka uenyekiti wakamkolimba.
 
Hao wadeni wake baadae wakaenda kun'goa CCTV

Lakini kabla ya shambulizi hao jamaa ambao walichukuliwa wake zao walihakikisha walinzi wote hapo Area D wanaondolewa amaa kweli hao watu wananguvu serikalini
Hawezi rudi....I can bet my wife's passo
 
Heehhe leo ni leoooo[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]nimeikwoti mapeemaaa ..hata ukifuta ...
Sio ajabu mbona, ana mengi tyuuuh sema alisitiriwa kutokana na ustaarabu wake, na hii je?
JamiiForums-283918655.jpg
 
Naona msemo wa majalalani umeingia mahali pake hata huyu mama Samia ameurudia huko Temeke.. Huyu mama amemwambia Lissu amejazwa fikra za Ubelgiji
 
Back
Top Bottom