Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Wanaanza kujidhihirisha uhusika na lile tukio

Safi sana watajiumbua kwa vinywa vyao wenyewe
 
Amechokoza mzinga wa nyuki huyo mama .

Hafanani kabisa na ishu hizo anazoongea hapo .

Nilikuwa namheshimu sana kumbe ndio wale wale

Ukikaa karibu waridi utanukia waridi tu

So sad

Tuna viongozi makatili kiasi hiki jamani duuuh!!

Kwamba kupigwa risasi Ni jambo la kawaida .

MUNGU tunusuru sisi watanzania [emoji120][emoji849]
 
Nikm alivo huyu wa Elimu..

Anapenda dogodogo mbaya.

Maza anapigwaa rungu na serengeti boyizi.
Huyu wa Elimu najua kuna kijana ni lecturer wa MUHAS anatoka nae, yaan afu sikuamini hata lol. mambo yao hovyooh.
yule wa ajira, vijana na walemavu, aliua mumewe na sasa analea kibenteni. [emoji23][emoji23][emoji23]Dunia inaenda kasi hii lol.
 
Ukikaa na shetani na wewe utakuwa shetani

Hakuna aliemsafi ndani ya CCM
Kaongea ukweli mtupu, 16 bullets na mtu hajafa, lazima zipigwe na an inexperienced shooter, serikali isingeweza kuweka maboya namna iyo, hutaki, pita hivi.
 
Kaongea ukweli mtupu, 16 bullets na mtu hajafa, lazima zipigwe na an inexperienced shooter, serikali isingeweza kuweka maboya namna iyo, hutaki, pita hivi.
Mungu kamlinda masiha wake
Ili aje atuvushe waTz
 
Umemsahau marehemu CHACHA WANGWE aliutaka uenyekiti wakamkolimba.
 
Hao wadeni wake baadae wakaenda kun'goa CCTV

Lakini kabla ya shambulizi hao jamaa ambao walichukuliwa wake zao walihakikisha walinzi wote hapo Area D wanaondolewa amaa kweli hao watu wananguvu serikalini
Hawezi rudi....I can bet my wife's passo
 
Heehhe leo ni leoooo[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]nimeikwoti mapeemaaa ..hata ukifuta ...
Sio ajabu mbona, ana mengi tyuuuh sema alisitiriwa kutokana na ustaarabu wake, na hii je?
 
Naona msemo wa majalalani umeingia mahali pake hata huyu mama Samia ameurudia huko Temeke.. Huyu mama amemwambia Lissu amejazwa fikra za Ubelgiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…