Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Jarada - jaladaNani amekwambia hawachunguzi kwani jarada limefungwa? Mrudisheni dereva aje ayatambue magari yale yaliyokamatwa. Uchunguzi unaanza na maelezo ya watu wazima muhimu waliokuwepo eneo la tukio. Hata ao wachunguzi wa nje wataanza na hao.
Huyu mama ni timu membe naona katumwa na membe kuharibu hewa.
Huyo mama ni mafia toka zamani huwa nashangaa watu wanaompamba humu.Haya namsamehe
Na yeye ni mhuni kama wanaccm wengine tu bunge la katiba walivuruga na mzee Sita..kuna comment alitoa kuhusu wabunge wa vyama vya upinzani wakati wa bunge maalum.
..nadhani kulitokea mzozo na wabunge hao wakaamua kutoka nje ya ukumbi, sasa kuna kauli aliitoa ndio ilinifanya nijue kwamba iko siku tabia zake zitakuja kujulikana/kujitokeza waziwazi.
..Mama Samia alimtembelea Tundu Lissu akiwa hospitali Nairobi na alimkuta katika hali mbaya sana akiwa bado kitandani.
..Na waTz wengi tulimpongeza kuwa amefanya jambo la kiungwana. Sasa imekuwaje mtu ambaye alimuona TL akiwa kitandani ni mgonjwa, leo aanze kumtolea maneno ya kashfa? Kwa maoni yangu ni afadhali maneno hayo yangesemwa na mtu ambaye hakumuona TL kule hospitali.
..Na kibaya zaidi yamesemwa na mwanamke ambaye tunajua ana uchungu wa kuzaa,na anajua machungu ya kuuguza kwani kwa mila zetu wanawake ndiyo wanaouguza na wafariji ktk familia zetu.
Mkuu nafikiri umesahau kujiuliza maswali ya aliyewatoa walinzi wote wa kwenye nyumba za viongozi.Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.
Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
Wajenzi wa mnara wa Babeli hao yetu machoNimemsikitikia Sana
Na nilimuheshimu sana
Huyo mama ni mafia toka zamani huwa nashangaa watu wanaompamba humu.
Yeye na mzee Sita walishiriki kuvuruga mchakato wa katiba mpya ndiyo maana akazawaidiwa umakamu wa rais
Kwani Meshack, Shadrack na Abedinego walitupwa katika tanulu la moto wakapona na je Mungu ni nduguyo?Lakini mama kasema kweli risasi 16 kwa ashari mwenye mafunzo ni ngumu aisee...
Kwa comments za hapa na tweeter tayari kaisha haribu image yake kabisa.Mama kaanza kuharibu heshima yake
tutawa jua wengi sana
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni Mgombea mwenza wa kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wamevunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Duh! Kasemaje? Imenipita!πKeshalipata, kigogo Keshafungua file lake huko twitter ππππ
Daaah!! Ila kigogo 2014 mwanaharamu yule jamaa. Kujua teknolojia kunafanya awanyanyase sana Lumumba πππ
Baba nenda kacheki kule Twitter. Kafungua file lake balaaa! Watu wamepoteana πππDuh! Kasemaje? Imenipita!π