Serikali kuwapa watu case za uhaini bado sijibu la Maswali ya DP World! Kuna maswali lazima uyajibu wewe! Usijifiche

Serikali kuwapa watu case za uhaini bado sijibu la Maswali ya DP World! Kuna maswali lazima uyajibu wewe! Usijifiche

i mkataba wa DP world ambao ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea
Sii kweli, kuna mikataba mibovu mara 100 zaidi ya huu ila hatuijui kwasababu haiko wazi!
watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?
Watu hao watakuwa ni wajinga, mkataba umewekwa humu na saini za waliosaini zipo!, umeona saini ya Rais Samia?.
Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini
Duh...!. Kumbe na wewe uko kwenye kundi hili la hao wajinga?!. Umeona sahihi ya Rais Samia kwenye hiyo IGA?.
P
 
Toka limetokea sakata la kusaini mkataba wa DP world ambao wengi wameukosoa na kuonesha ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea bado watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?

Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!

Rais Samia anatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!

Rais Samia amekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake……

Rais Samia anatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!

Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!

Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!

Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!
Kifungu kwa kifungu
 
Toka limetokea sakata la kusaini mkataba wa DP world ambao wengi wameukosoa na kuonesha ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea bado watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?

Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!

Rais Samia anatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!

Rais Samia amekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake……

Rais Samia anatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!

Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!

Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!

Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!
Usihangaike na waliooza akili na vichwa vyao
 
Kwani mahakama ndio iliweka saini kwenye ule mkataba wa hovyo?

Haiwezekani ujinga ufanye wewe, halafu marekebisho ukafanyiwe na mwingine, kumbe wewe ni zezeta?

Say Yes!.
Watu wamekwenda mahakamani kuulizia uhalali wa huo mkataba majibu yametoka au vipi
 
Kifungu 4(2) kwamba Tanzania inapotaka kuweka mwekezaji mwingine maeneo mengine ya bandari inatakiwa iende Dubai kuomba ridhaa, Dubai wakikataa kutoa idhini ndio basi. Yaani nchi huru ikaombe ridhaa Dubai? Tena kwa Mali zake? Lingine, kama mkataba huu ni mzuri, kwa Nini bandari za Zanzibar zisiwemo? Kwani wao hawataki kunufaika?
Mbona kila siku munaulizia kuhusu bandari za zanzibar kila mukipewa majibu munarudi tena kuliza nyie vipi Bandari sio suala la muungano muambiwe mara ngapi?
 
Toka limetokea sakata la kusaini mkataba wa DP world ambao wengi wameukosoa na kuonesha ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea bado watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?

Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!

Rais Samia anatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!

Rais Samia amekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake……

Rais Samia anatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!

Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!

Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!

Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!
we kenge hujaona hukumu ya mahakama? Mahakama imeshaamua we ni nani unakuja tena na huu upuuzi? Mahakama kuu iseme mkataba uko sahihi, we useme hakuna mkataba mbovu km huu? we mbwa kweli, we hangaika na mambo yako tunachosubiri ni utekelezaji, kazi inaendelea. Unakuja kubwabwaja huku na maujinga yako, mwandikie mamako haya maupuuzi.
 
kwani izo mahakama ni za akina nani?huo mfumo wa mahakama unadhitibiwa na nani?wewe unazani wangempinga boss wao?
sasa nenda kashtaki kwa mamako, kwanza mwulize kwanini we ni mpumbavu kiasi hicho? Unamwamini nani hapa duniani km hata mahakama huiamni?
 
Toka limetokea sakata la kusaini mkataba wa DP world ambao wengi wameukosoa na kuonesha ni mmoja ya mkataba mbovu kabisa kuwai kutokea bado watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kweli Samia amesaini yeye mwenyewe mkataba wa aina hii?

Bahati mbaya au nzuri kila akipata nafasi amekuwa akikwepa kuzungumzia mkataba huu amabao kwa sahihi zinaonesha ni yeye aliyesaini lakini badala yake amekuwa akijificha kwenye ujenzi wa darasa,wafiwa watibiwe bure, mechi za Yanga na Simba!

Rais Samia anatakiwa kujua itafika kipindi atafunua mdomo wake kueleza na kujibu hoja zote maana kila anayemtuma anaeleza la kwake!

Rais Samia amekosa majibu sasa ameona awape shitaka la uhaini wanaopinga mkataba ule na masharti yake……

Rais Samia anatakiwa kujua shitaka la uhaini halitokuwa majibu ya mkataba mbovu wa Tanzania na DPW!

Shitaka la uhaini halitompa amani ya kutawala bali majibu juu ya Mkataba wa DPW ndio yatampa amani!

Shitaka la uhaini halitokufanya upendwe bali litakufanya uchukiwe na kuogopwa na wanaccm na wasio wana CCM!

Bado majibu ya kuhusu mkataba wa DPW yataendelea kuhitajika kutoka kwako si leo tuu hadi baada ya Utawala wako!
TLS wamehongwa kiwanja na wao wamekubali
 
Back
Top Bottom