Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizara ya Afya nayo iige huu utaratibu sio mnaajiri watu wanabaka wagonjwa Wetu.Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda ametangaza utaratibu mpya wa ajira za Ualimu unaoelekeza Walimu kufanya Mtihani wa Kuwapima uwezo kabla ya Kuajiriwa, lengo likiwa ni kurudisha hadhi ya taaluma ya ualimu, isitazamwe kuwa chaguo la mwisho baada ya kukosa nyingine
Utaratibu wa ajira hizo kwa sasa unahusisha kutuma maombi katika tovuti maalum ya maombi ya ajira, kisha anayepata nafasi hufanyiwa usaili kisha kupangiwa eneo la kazi.
Kwa mujibu wa Profesa Mkenda, utaratibu huo utaanza kufanyika katika ajira mpya za taaluma hiyo, na hautafuta mchakato wa usaili, akisisitiza utaendelea kama kawaida ili kupata walimu
Amesema, "Wakati wa kutangaza nafasi mpya za ualimu, wakitaka kupata kazi, watafanya mtihani haijalishi tayari umesoma, kwanza itatuondolea matatizo. Kuajiriwa kuwa Mwalimu utafanya mtihani, utaona matokeo, tutaangalia idadi inayohitajika tutachukua waliofaulu tutawaajiri,"
Chanzo: Mwananchi
Wizara ya Afya nayo iige huu utaratibu sio mnaajiri watu wanabaka wagonjwa Wetu.
Huwa nashangaa Sana nikiona hizi comments Huwa naamini utoto Bado upo kichwani!! Na kujifanya mmefanikiwa Sana kinaisha!!! Wakati loooooh!!! Mara nyingi watu ambao hujifanya wanazo pesa Hali Huwa ni kinyume!! Tungekuwa tunaoneshana Mali na akiba humu tungekimbiana!? Jamii forum inatusitiri sanaUnanifanyisha usaili kwa mshahara upi wa ualimu?
Wanasheria walijaribu kufanya mitihani Yao ya uwakili walichokutana nacho walifurahi!!!Kada zingine mbona wanafanya interview
Hahahaaahaaa Kwa kweli mwalimu Mpwayugu ataangukia pua kama sio kidevumpwayungu village hawezi kufaulu huo mtihani
Mbona sisi wahasibu tunafanya ili kupata ajira, vyuo haviaminiki? Tumia akili, hili suala nimelileata jana tu, hata kada ya afya nao wafanyishwe mitihaniVyuo haviaminiki tena vilivyowaandaa walimu?
Uzi ufungwe baada ya komenti hii,mbunge una lasaba B ya kuungaunga na waziri una form 4 C ya mashaka unataka unifanyishe mtihani mwenye bachelor,huo utakuwa upumbavuHuu mtihani tuanzea na wanasiasa tuanze na wagombea Uraisi tuje kwa wabunge tumalize na madiwa.
Kwamba Degree iwee, CC? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Why wasi overahul higher education??
Waweke standards mpya za admission kwenye vyuo
Nasikia degree ni 700+k mbona hata kada nyingine ni hivyohivyo!?Kwa mshahara gani hadi ualimu uwe wa intavoo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazii ipooo
Basi ongezeni mishahara na posho Kwa walimu Ili tuwe sawa na hao wa TRA,UHASIBU nk.Kada zingine mbona wanafanya interview
Basi sawaah.Nasikia degree ni 700+k mbona hata kada nyingine ni hivyohivyo!?
Haamini vipi? Mbona kada zingine wanafanya Usaili?kwa hio Mkenda haamini vyuo vyao vilivyofundisha waalimu?
hata elimu yake inabidi tuwe na wasi wasi nao kama anaanza kuleta figisu tu ili watoto wa maskini wasipate ajira
kiufupiu hii mitihani ni ulaji wao , wanatafuta kila mbinu ya kula pesa ya mlala hoi