Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

Msimlaumu mkwezi nazi imeliwa na mwezi !

Msimlaumu Mkenda bure maana hilo ni hitaji la nyakati hata angekuwepo mtu mwingine kwenye hicho cheo angeamua Kwa namna hiyo hiyo.

Mabadiliko hayanabudi kuja.
 
Kwanza ingefaa ualimu waende wale walofaulu kwa ufaulu wa juu sana (Top Cream) ili wanafunzi wapate elimu bora zaidi kwa maendeleo ya Taifa letu badala ya hali ilivyo sasa.
 
Watu wafanye mtihani, Kuna wengi wamefundishwa blablaaa na Wana GPA kubwa lakini kichwani empty kabisa. Mwl lazima awe ameiva hasa, hata vyuoni Kuna walimu bure kabisa. Yaani mtu anaingia lecture anasoma kitini mwanzo mwisho anatoka, huyu si wakufukuza kabisa huyu. Mwalimu lazima awe na uwezo wakufundisha siyo kusoma shairi. Piga mtihani kabisa Kuna wahuni wanaharibu kada ya ualimu. Hapa degree halali na za chupi au pesa zitajipambanua.
 
Kwanza ingefaa ualimu waende wale walofaulu kwa ufaulu wa juu sana (Top Cream) ili wanafunzi wapate elimu bora zaidi kwa maendeleo ya Taifa letu badala ya hali ilivyo sasa.
Kuna wale wenye GPA za guesthouse, hao wakafundishe watoto wetu siyo.
 
Ameseme ualimu ni chaguo la mwisho baada ya kufeli sehemu zote. Waziri wa elimu kayasema hao dar Es salaam View attachment 2660431View attachment 2660432

Mpwayungu Village
Siwabezi walimu na ndio wote tunaoweza kuandika na kusoma tumepitia kwao, huo ndio ukweli aliosema Waziri lakini sio wote wanaochagua Ualimu ni kuwa walikwama kupata machaguo mengine.

Kipindi kabla mfumo wa kuajiriwa moja kwa moja haujaharibiwa, baadhi ya Watu waliamua kusoma Ualimu ili pindi wakimaliza masomo waweze kuajiriwa moja kwa moja ili wakidhi haja zao za kimaisha, na wengine waliamua kusoma ualimu kwa mapenzi ya kufundisha.
 
Aina gani ya mtihani watapewa kupima uwezo wao...?
Si itaandaliwa Guidelines mkuu, ili walimu wa Arts wawe na pepa yao na walimu wa Sayansi, Uchumi, Biashara wawe na pepa yao.

Mfano mimi ningependekeza hivi, mtihani uwe na category hizi.

- Pepa kuhusu maadili na sheria za utumishi
-Pepa kuhusu mbinu za kufundisha
-Pepa kuhusu masomo husika uliyosomea.
 
Mashule mengi ya msingi na sekondari yamejaa walimu wababaishaji na wakaguzi wa elimu hawalijui hili. Unakuta mwalimu anakwepa kufundisha madarasa fulani anajijua ni mtupu kichwani, wanang'angana na darasa la tatu, nne na form one. Hayo madara mengine ukiacha ya awali, la kwanza na pili wanaogopa sana mada zake. Na wakijikakamua kuingia huko wataruka mada wasizokuwa na uwezo nazo kuzikokotoa. Wanafunzi wanabaki weupe mpaka siku ya mtihani wa mwisho wanakutana na maswali ambayo hawakuwahi kufundishwa na walimu wao. Unakuta shule ina walimu wengi ila ni mmoja tu au hakuna mjuzi wa kukukotoa mahesabu ya mada ngumu kama algebra, jometry, sequence and series, matrix na nyingine nyingi zinazofanana na hizo. Kule kwenye physics na chemistry kunako mahesabu ya equation ni balaa. Sasa kama una mwalimu anafundisha msingi na hakupitia hayo mahesabu au alipitia akaambulia sifuri tegemea akipewa kufundisha msingi ataishia la tatu na nne huko juu akifundisha ataruka mada au atababaisha wanafunzi. Walimu wanye mtihani
We kweli ndo ujui kitu ungejua hakuna madarasa magumu kufundisha kama hayo uliyoyataja apo
 
Safi kabisa na isiishie hapo tu wapimwe na vipimo vya kijinsia kwa walimu wa kiume ijulikanwe ni mashoga au laa na walimu wa kike kadhalika, na sekta nyingine zote iwe namna hii kutokana na hali na zama hizi tulizopo mambo yamekuwa mengi.
 
Kwenye comment yangu umeona nimetaja Mhasibu?

Hapa tunazungumzia walimu mbapo mnaanza kusema na Kada ya Afya ifanyiwe interview ndipo nikakueleza namna wanavyopata leseni zao.

Nikamalizia na kusema Walimu hawapitii hizo hatua, na ndio maana tunaunga mkono kauli ya Waziri
Hadi Afya wapitie usaili wa kazi.
 
Ukiona hivyo ujue kuna watoto wa wakubwa wameoshalamba vitengo.....hii ni njia ya kuwabana na kuwaminya watoto wa walalahoi.....hongera sana bwana mkenda kwa kuanzisha utaratibu mzuri
Hata hao wakubwa wanaowapa connection za ualimu vijana wao watakuwa wendawazi Bora wawape mitaji midogo tu
 
Back
Top Bottom