Utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu.
Kwa nini iwe kwa walimu tu na si kada zingine?
Kwani walimu ndiyo waliopitisha Azimio la kubinafisishwa kwa Bandari yetu pendwa?
Huyo Prof ni Prof uchwara kabisa.
Yaliyomshinda Mungai J,anataka kuyarudia.
Anawashwa huyu!
Kwa nini iwe kwa walimu tu na si kada zingine?
Kwani walimu ndiyo waliopitisha Azimio la kubinafisishwa kwa Bandari yetu pendwa?
Huyo Prof ni Prof uchwara kabisa.
Yaliyomshinda Mungai J,anataka kuyarudia.
Anawashwa huyu!