Serikali: Walimu sasa kufanya mtihani wa kupima uwezo kabla ya kuajiriwa

Wizara ya Afya nayo iige huu utaratibu sio mnaajiri watu wanabaka wagonjwa Wetu.
 
Unanifanyisha usaili kwa mshahara upi wa ualimu?
Huwa nashangaa Sana nikiona hizi comments Huwa naamini utoto Bado upo kichwani!! Na kujifanya mmefanikiwa Sana kinaisha!!! Wakati loooooh!!! Mara nyingi watu ambao hujifanya wanazo pesa Hali Huwa ni kinyume!! Tungekuwa tunaoneshana Mali na akiba humu tungekimbiana!? Jamii forum inatusitiri sana
 
kwa hio Mkenda haamini vyuo vyao vilivyofundisha waalimu?
hata elimu yake inabidi tuwe na wasi wasi nao kama anaanza kuleta figisu tu ili watoto wa maskini wasipate ajira
kiufupiu hii mitihani ni ulaji wao , wanatafuta kila mbinu ya kula pesa ya mlala hoi
 
Haamini vipi? Mbona kada zingine wanafanya Usaili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…