Hiyi dhambi zinachagua wa kuwaandama ushoga uliko France mbona bado wamebarikiwa kuliko taifa la kilokole burundiInasikitisha wakati mitaani watu wazima wanalawitiana kama hawana akili? Sehemu kama Dar asilimia kubwa ya wanaume wamewahi kulawiti wapenzi wao. Hii ni laana ya na itatuandama kwa muda mrefu.
Baada ya kuona mkoa wa Kilimanjaro unaongoza kua na shule nyingi kitaifa ndio mnakuja na hizi propaganda?Wachaga wataisha kwa kulawitiwa
Mpumbavu sana huyu mbaguziIngekuwa ukilawitiwa unaisha, ww usingekuwepo muda mrefu sana.
Ndio msaada aliyopewa lissu na chadema european union. Watu wanapiga kelele dhidi ya ushoga msifikiri mambo yako poa. Hawa wamarekani na wenzao wa ulaya ya magharibi wameazimia kuharibu dunia kimaadili. Badala ya kuzubaishwa na misaada yao ambaxo wala haina tija tuchukue hatua kali kujihami.Waziri wa Elimu Prof Mkenda amesema ametuma timu maalumu mkoani Kilimanjaro kuchunguza Shule zinazofundisha Wanafunzi vitendo vya kulawitiana
Prof Mkenda amesema wameshtushwa sana na Taarifa hizo hivyo wameongea na Mkuu wa mkoa na RPC washirikiane na Tume hiyo kuchunguza Shule zilizotajwa
Source ITV
Kwani Prof Mkenda ni Mbunge wa wapi?Baada ya kuona mkoa wa Kilimanjaro unaongoza kua na shule nyingi kitaifa ndio mnakuja na hizi propaganda?
Mnafikiri kuichukia kwenu Kilimanjaro kutairudisha nyuma kimaendeleo?
Watu wa Kilimanjaro wataendelea kujenga mashule na kujiendeleza kielimu/kiuchumi milele na huna utakachowafanya, kama una chuki sana tafuta bomu kubwa kabisa kapige Moja uwasambaratishe wote kama Wamarekani walivyolipua Hiroshima and Nagasaki 1945
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
We jamaa umetohoa jina la masopakyindi 🤣🤣🤣Dah, aisee! Yan huyo mwalimu atakae thibitika dhahiri anayafanya hayo naomba apewe adhabu ya kunyongwa tu kwa ajili ya ustawi wa kizazi cha badae cha watoto wetu.
Hizo ni tuhuma ndio maana Zinachunguzwa kama Kuna ukweli Tena huenda ni mzazi tu mwenye chuki za kikabila kama wewe kazusha baada ya mwanae kulawitiwa kaamua kuchafua shule na mkoa mzimaChuki iko wapi hapo? Kuna chochote kilichozushwa?
Kabla Serikali hai kaanza kuzichunguza shule zinazodaiwa kufundisha wanafunzi wake kulawitiana maafisaelimu wa msingi na sekondari Moshi manispaa wapishe uchunguziIsikie tuu kwa mwenzio
Hii kitu inachoma kama pasi
Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu
Kila la heri serikali
Ni mitala ya kimataifa, kwani vipi?Sio shule zinazotumia mitaala ya kimataifa, sema shule zinazotumia mitaala ya Wazungu (European curriculums).
Vipi kuhusu yuleHizo ni tuhuma ndio maana Zinachunguzwa kama Kuna ukweli Tena huenda ni mzazi tu mwenye chuki za kikabila kama wewe kazusha baada ya mwanae kulawitiwa kaamua kuchafua shule na mkoa mzima
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hujui tu. Bongo ushoga unaweza kuwa uko mbele kuliko France. Bongo watu ni wanafiki. Utasikia mtu anapiga kelele hadharani kulaani kumbe kesho anaenda kumlawiti mke wa mtu. Na laana ninayozunguzmia mimi siyo laana kutoka kwa Mungu. Ni laana ya watoto kujifunza mambo wanayoona na kusikia kutoka kwa wakwabwa wao.Hiyi dhambi zinachagua wa kuwaandama ushoga uliko France mbona bado wamebarikiwa kuliko taifa la kilokole burundi
Ushoga upo tu Miaka yote Kila mahali duniani, ni jukumu la Kila mtu kuifundisha jamii yake kujihami na hiyo tabia ila kuwatuhumu wapinzani bila ushahidi wowote Kwa sababu ya chuki zako sio sahihi.Ndio msaada aliyopewa lissu na chadema european union. Watu wanapiga kelele dhidi ya ushoga msifikiri mambo yako poa. Hawa wamarekani na wenzao wa ulaya ya magharibi wameazimia kuharibu dunia kimaadili. Badala ya kuzubaishwa na misaada yao ambaxo wala haina tija tuchukue hatua kali kujihami.
Eti wanataka watoto wafundishwe aina zote za kujamiana kisha wachague wenyewe ndio demokrasia yao ya kiliberali. Kijana aweze kuchagua ushoga au binti usagaji baada ya kufunzwa.
Hebu angalieni hatari inayotukabili kama taifa.
Kaongea kama waziri wa elimu, kumbuka hizo ni tuhuma na inawezekana ni uzushi ila kutokana na chuki zenu Kwa wanakilimanjaro mmeshaifanya ajenda ya kitaifaKwani Prof Mkenda ni Mbunge wa wapi?
Mkuu shida ni kwamba Wazazi wana jifanya wako busy sana kutafuta pesa na jukumu la kuea watoto limeachwa kwa Ma house Girl, Matron, patron na walimu, hii ni hatari sanaUmejiuliza swali la msingi! Hizi inaonekana ni tuhuma za mmoja wa wazazi ambaye mtoto wake kabanduliwa kuamua kushutumu shule kama taasisi. Hakuna namna “shule” inaweza kuwa inafundisha hii kitu!!
Shule zetu hazitoa elimu ya afya ya uzazi kwa hiyo hakuna kinachoweza kuzungumziwa. Wazazi tumeshindwa sana kujaza pengo hilo na mambo kama haya yakitokea tunalaumu taasisi!
Binafsi nawaambia vijana wangu kuwa natarajia wakue waoe na kuwa na wake!! Kuwa wawatoe wake zao out na wawanunulie zawadi! Matarajio yangu nayaweka kama malengo kwao, taratibu bila kuwahimiza wawe na mahusiano na wanawake!!! Wazazi tuchukue nafasi tunazopaswa kuzichukua kwa watoto, waalimu sio kila kitu!
Kwahiyo Prof Mkenda ana chuki na Wachagga?Kaongea kama waziri wa elimu, kumbuka hizo ni tuhuma na inawezekana ni uzushi ila kutokana na chuki zenu Kwa wanakilimanjaro mmeshaifanya ajenda ya kitaifa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Unaweza kuta hapo ulipo mtoto wako anapumuliwa kisogoni siku nyingi sanaVipi kuhusu yule
Mgombea urais wa kile chama ambacho asili yake ni mkoa huo, nae amezushiwa?
Mtoa posti anashindwa nini kuitaja Shule na huyo mwalimu?Taarifa ni kali kuliko ukweli. Mbona taarifa kali hivi aisee🥹🥹.. nimeshtuka, shule inafundisha kulawitiana eeeenh
Sijui labda ulikuwepo eneo la tukio ukashuhudia.Vipi kuhusu yule
Mgombea urais wa kile chama ambacho asili yake ni mkoa huo, nae amezushiwa?