Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 4,548
- 9,740
Form one vitu huwa ni vile vile sema tu kwa ligha tofautIla hii ilikuwepo kweny English Medium
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Form one vitu huwa ni vile vile sema tu kwa ligha tofautIla hii ilikuwepo kweny English Medium
Ningependa kuzifahamu zote just Imaginr kuna Tahasusi inaitwa PEGE
View attachment 2940031
Hujafunga?Ushanipa njaa sasa ya Kentucky Fried Chicken
Hakuna level niliyoteleza kama O-level.Hawa watu wa mitaala wamenishangaza kwa kitendo cha kutengeneza mtaala mpya ambao wanafunzi wa darasa la 3 watasoma mada za form 1
Hawa wanakuwa wanawaza tu drumstick
Sisi ndio wale tuliobaki.Hujafunga?
Mandarin 😂😂😂Kichina tena !
Na chicken wingsHawa wanakuwa wanawaza tu drumstick
Unaweza kusoma sheriaUkisoma hizo lugha advance chuo unaenda kusoma kozi Gani?
Yeah haya yalikuwa ya 2021 natamani niyaone ya 2024Haya mabadiliko ni ya mwaka gani?
Hapo naona mwaka 2021
Kakwambia nan hawajui? Tunaelewana nao sema mtu mwngn ambae hachangamani nao ndo ngumu kuelewaKwanini? Si Lugha jamani?
Huko Kkoo huoni kumejaa wachina hawajui kiswahili?
si sawaaaaKakwambia nan hawajui? Tunaelewana nao sema mtu mwngn ambae hachangamani nao ndo ngumu kuelewa
Hii PEGE ni EGM waliokimbia hesabu hao.Ningependa kuzifahamu zote just Imaginr kuna Tahasusi inaitwa PEGE
View attachment 2940031
Tan nzania mata tizooo china no matatizo umeme🤣🤣🤣si sawaaaa
🤣🤣🤣🤣Hii PEGE ni EGM waliokimbia hesabu hao.
Labda anaenda kuwa kocha wa timu anayejua uchumi wa kudonoa tu.🤣🤣🤣🤣
Sasa hebu Jiulize Mchumi aliyejifunza Elimu ya Viungo bila Hesabu
Yeah inawezekana pia wanaandaa makocha..Labda anaenda kuwa kocha wa timu anayejua uchumi wa kudonoa tu.