LWENYI
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,798
- 2,107
Sijaelewa Na 27 inakuwaje biasharaView attachment 2940110
Labda kwasababu kuna islamic banking, operated under sharia laws, vinginevyo hii kwakweli haijakaa sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa Na 27 inakuwaje biasharaView attachment 2940110
Sasa huo ugumu ndio watu wa KFC wauondoeKakwambia nan hawajui? Tunaelewana nao sema mtu mwngn ambae hachangamani nao ndo ngumu kuelewa
Utendaji kazi utakua mgumu SanaSasa huo ugumu ndio watu wa KFC wauondoe
Namba nane na 9 ni kitu kile kile😂HATIMAYE NIMEZIPATA HAYA WALIOKUWA WANAZITAKA HIZI HAPA ..
View attachment 2940087
View attachment 2940088
View attachment 2940089
View attachment 2940090
Umewachota wamejaa comment za mwanzo wanafikiri ni hizo ulizopost ndizo alozotangaza Waziri Leo.Yeah haya yalikuwa ya 2021 natamani niyaone ya 2024
Ndio mkuu, Mwanangu wa Mwisho alikuwa akisoma hivyo, na sasa hivi kaingia Form one mwaka huu!Wanasoma
What is Physics
What is Chemistry
Wahat is Biology
Tulia. Keki ya taifa tuile woteUtendaji kazi utakua mgumu Sana
Tofauti LughaNamba nane na 9 ni kitu kile kile😂
Hizo zinajieleza zilitangazwa 2021Umewachota wamejaa comment za mwanzo wanafikiri ni hizo ulizopost ndizo alozotangaza Waziri Leo.
Std six angalau ila 3 naona kama mapema sanaNdio mkuu, Mwanangu wa Mwisho alikuwa akisoma hivyo, na sasa hivi kaingia Form one mwaka huu!
Nilikuwa nikikagua Baadhi ya Notes zake na pia kuna maswala ya Respiration na osmosis Na reproduction wanasoma wakifika STD VI na VII
🤣Labda kwasababu kuna islamic banking, operated under sharia laws, vinginevyo hii kwakweli haijakaa sawa.
Kwa Std 3 Hapo wameenda mbali sana..Std six angalau ila 3 naona kama mapema sana
PossiblyKwa Std 3 Hapo wameenda mbali sana..
Huenda wanampango wa kufuta Advance kama kenya Lets wait
Hii naskia ukimaliza unaenda kupata ajira kwenye bandari mpya pale posta😂😁Sijaelewa Na 27 inakuwaje biasharaView attachment 2940110
Wajerumani wenyewe wanaona Kiswahili na kingereza ndio fursa kwao.Hawa vilaza wameacha SoMo la lugha ya kijerumani yenye fursa kedekede Kwa sasa ulimwenguni,wajinga Sana hawa vilaza.
Huenda ina ukweli hiiHii naskia ukimaliza unaenda kupata ajira kwenye bandari mpya pale posta😂😁
Usiongee usiyoyajua,unamfahamu program za BFD na FSJ wananufaika watu gani? Leo hii ukisoma kijerumani basic ya level ya A1 unapata visa ya opportunity card kwenda kujitafuta ujerumani na Kwa dada ukisoma A1 unaenda na programm ya uapair kula maisha ujerumani,acha kuongea usichokijua.Wajerumani wenyewe wanaona Kiswahili na kingereza ndio fursa kwao.
Kijerumani sio lugha ya Dunia labda mpaka uwe na safari ya ujerumani bora hata Kiswahili unaweza kupuyanga nacho kuanzia kusini, mashariki na kati ya Afrika na ukatoboa
Naunga mkono hojaUsiongee usiyoyajua,unamfahamu program za BFD na FSJ wananufaika watu gani? Leo hii ukisoma kijerumani basic ya level ya A1 unapata visa ya opportunity card kwenda kujitafuta ujerumani na Kwa dada ukisoma A1 unaenda na programm ya uapair kula maisha ujerumani,acha kuongea usichokijua.