Serikali yaanzisha Tahasusi (Combination) mpya 49, sasa zitakuwa 65

Serikali yaanzisha Tahasusi (Combination) mpya 49, sasa zitakuwa 65

Wajerumani wenyewe wanaona Kiswahili na kingereza ndio fursa kwao.

Kijerumani sio lugha ya Dunia labda mpaka uwe na safari ya ujerumani bora hata Kiswahili unaweza kupuyanga nacho kuanzia kusini, mashariki na kati ya Afrika na ukatoboa
Futa hii Mkuu 😂😁😁 unakosea sana hapo
 
Ni kwenda kukua na kupoteza Muda kule
Kumbe na wewe una akili akili [emoji16][emoji16] A LEVEL ni kirusi cha saikolojia kinacho ua motisha ya O- LEVEL mwanafunzi anawaza tena akimaliza o level aendelee na a-level [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
 
Hujafunga?
Haaaaa kwani ujui kuwa wafungaji tanzania ni waisiharamu yaheee ......wenzio tuna angalia upepo tukikuta misosi minono [emoji490][emoji490][emoji491][emoji491][emoji894][emoji894][emoji487][emoji487][emoji489][emoji489][emoji492][emoji492][emoji492][emoji492][emoji492]tuna fungua yahee tutalipia siku nyingine shekhe wangu[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kumbe na wewe una akili akili [emoji16][emoji16] A LEVEL ni kirusi cha saikolojia kinacho ua motisha ya O- LEVEL mwanafunzi anawaza tena akimaliza o level aendetena o level [emoji856][emoji856][emoji856][emoji856]
Mkuu N'take Radhi bhna 😅😅
 
Ndio mkuu, Mwanangu wa Mwisho alikuwa akisoma hivyo, na sasa hivi kaingia Form one mwaka huu!
Nilikuwa nikikagua Baadhi ya Notes zake na pia kuna maswala ya Respiration na osmosis Na reproduction wanasoma wakifika STD VI na VII
Unaambiwa Physics, Chemistry na Biology ww unaongelea reproduction, mbona humuelewi anachokuambia?
 
Unaambiwa Physics, Chemistry na Biology ww unaongelea reproduction, mbona humuelewi anachokuambia?
Nimemuelewa na ndiyo maana nimejibu na Yeye kanielewa na ndo maana tuliweka conclusion Wote wawili..

Hakuna Somo la physics, Chemistry wala Bios ila masomo hayo yapo kwenye Somo la science kama topics mchanganyiko sawa na hiyo topic ya Repro niliyoitaja..
Umenielewa?
 
Serikali kupitia TAMISEMI imetoa fursa kwa Wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kuongeza au kufanya marekebisho ya machaguo mapya ya tahasusi (combination) baada ya kuongezwa kwa tahasusi mpya 49 kutoka 16 zilizokuwepo awali na kufanya tahasusi za kidato cha tano kufikia 65.

Akiongea leo Jijini Dar es salaam, Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema Serikali kupitia TAMISEMI imekamilisha zoezi la awali la kuingiza kwenye kanzidata taarifa zilizo kwenye fomu za uchaguzi za Wanafunzi kama zilivyojazwa na Wanafunzi wakiwa Shuleni.

“Napenda mtambue kuwa Mabadiliko ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023 na Mitaala ya Elimu kwa Kidato cha Tano yameanza kutekelezwa, ambapo utekelezaji huo umehusisha uanzishaji wa tahasusi mpya 49, kutoka 16 zilizokuwepo awali hadi kufikia tahasusi 65”

“TAMISEMI inatoa fursa kwa Wahitimu kubadili machaguo ili kutoa nafasi kwa Wanafunzi kusoma combination itakayomuandaa kuwa na utaalamu stahiki katika maisha yake ya baadaye hii ni kwakuwa wakati wa ujazaji fomu za machaguo ya awali tahasusi mpya 49 hazikuwepo kwenye orodha na matokeo ya kidato hayakuwa yametoka”
Tanzania as part of East Africa can do wonders kwenye Wataalamu as per our Elimu. Ila atupo Serious Bado! We need Nyerere mwingine na pia Mungu aje atupe Magufuli Mwingine🙏Bado atuna mwenye Uchungu na sisi Wadanganyika😭
 
1710954028575.jpeg

1710954042205.jpeg

1710954056498.jpeg

1710954070783.jpeg
 
Hivi Geography na languages zina correlate vipi? Namaanisha why HGK, HGK, HGF? Kwangu bora HKL, HKF, HLF where L = Literature in English.

Unazama kwenye lugha kweli kweli!
 
Back
Top Bottom