Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
wajinga waliisha Tz labda umebaki pekeyako 🐒Mi naona kuna mda ccm kilicho baki kama huku mtaani tunavosema ukichezea maisha yata kupiga kwa ili serikali ya ccm ndio inalitafuta.
Wanyofanya kwenye mitaala ya elimu ni kwamba watanzania tubaki kuwa wajinga kwa vizazi vyetu ili wao watoto wao wasome mitaala ya nje.
Je tamisemi kwa nini inaingilia wizara ya elimu na kutoshilkisha wadau wa elimu na maoni ?.
ila we shemeji usifurahishe ukweni kutaka uwaziri
maboresho ya Elimu Tz ni kwa maslahi mapana ya waTz wote🐒
waTaz wote walishirikishwa kwenye Jambo hili na kuamua hivi ilivyo..
Maoni ya wengi yamezingatiwa na kutekelezwa na maoni ya wachache yameskizwa na kuheshimiwa 🐒
hayupo wakubabaika na wenye gubu na wanao jifanya ni zaidi ya binadamu 🐒