Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Yaani Kiongozi anayepèwa kila kitu anashadadia maliasili zisilindwe dhidi ya wavamizi wa kigeni...!

Hivi huyu nimwenzetu kweli ?
Lengo lake ninini haswa ?

Naomba majibu haraka.
 
Mwambukusi,dr slaa na wazalendo wengine washukuriwe kwa kutetea maliasili za Tanganyika hadi wauza maliasili wameona aibu kubadili sheria ili kurahisisha uuzwaji wa Nchi.
 
Wasalaam ndugu zangu Watanzania!

Bunge leo limekataa kupitisha mabadiliko ya sheria 2 ambazo zilikuwa zinakinzana mkataba tata kati ya Tanzania na Dubai.

Binafsi niliwasilisha maoni yangu kwa kupinga mabadiliko haya ya sheria kwa kamati ya Bunge kupitia email yao.

- Nimewasilisha maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa

Tukumbuke sheria hizi mbili zilitungwa 2017 baada ya migogoro mikubwa ya madini katika awamu ya 5.

Pia Kuna Rufaa inasubiliwa kusikilizwa rasmi na kutolewa uamuzi, ukiliangalia maamuzi ya Bunge leo unapata picha kabisa kuwa Mahakama Rufani itawapa ushindi mkubwa wananchi kwa kusema wazi kuwa Dubai haikuwa na hadhi ya kusaini IGA na Tanzania, pia itasisitiza kuwa mkataba ulikiuka sheria zetu na hivo mkataba huu batili na hivo kuipa nguvu Serikali ya kwenda kuvunja rasmi mkataba huu tata.

Watanzania wameshinda. Watanganyika tumeshinda.
Ina impact gani juu ya huu Mkataba
 
Sheria mpya nyingi zimepitishwa bungeni leo, mbali ya kanuni za bunge sheria zilizo rekebishwa ni.

1) Tume ya mipango 2023.
2) Marekebisho idara ya Usalama wa Taifa " TISS Amendments Bill 2023".
3) Laws Amendment Revisions 2023.
4) Marekebisho sheria ya ubia "PPP Amendment Bill 2023"
5) Written Laws Amendment Bill 2023"
6) Matumizi ya fedha 2023 (Apropriation Bill 2023.
7) Finace acts 2023.

Hiyo miswada yote yote imeshapitishwa na Rais kuwa sheria kamili. Na ina majina yake kamili kisheria.
 
Wasalaam ndugu zangu Watanzania!

Bunge leo limekataa kupitisha mabadiliko ya sheria 2 ambazo zilikuwa zinakinzana mkataba tata kati ya Tanzania na Dubai.

Binafsi niliwasilisha maoni yangu kwa kupinga mabadiliko haya ya sheria kwa kamati ya Bunge kupitia email yao.

- Nimewasilisha maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa

Tukumbuke sheria hizi mbili zilitungwa 2017 baada ya migogoro mikubwa ya madini katika awamu ya 5.

Pia Kuna Rufaa inasubiliwa kusikilizwa rasmi na kutolewa uamuzi, ukiliangalia maamuzi ya Bunge leo unapata picha kabisa kuwa Mahakama Rufani itawapa ushindi mkubwa wananchi kwa kusema wazi kuwa Dubai haikuwa na hadhi ya kusaini IGA na Tanzania, pia itasisitiza kuwa mkataba ulikiuka sheria zetu na hivo mkataba huu batili na hivo kuipa nguvu Serikali ya kwenda kuvunja rasmi mkataba huu tata.

Watanzania wameshinda. Watanganyika tumeshinda.
Ikiwa ni kweli basi Bunge limeanza kutambua kwa nini TANU na AFRO SHIRAZ walipigania uhuru kutoka kwa wakoloni. Binafsi nilikuwa mwanachama wa TANU kuanzia mwaka 1968, mwanzilishi wa CCM mwaka 1977 na sasa sina chama cha siasa.
 
Sheria mpya nyingi zimepitishwa bungeni leo, mbali ya kanuni za bunge sheria zilizo rekebishwa ni.

1) Tume ya mipango 2023.
2) Marekebisho idara ya Usalama wa Taifa " TISS Amendments Bill 2023".
3) Laws Amendment Revisions 2023.
4) Marekebisho sheria ya ubia "PPP Amendment Bill 2023"
5) Written Laws Amendment Bill 2023"
6) Matumizi ya fedha 2023 (Apropriation Bill 2023.
7) Finace acts 2023.

Hiyo miswada yote yote imeshapitishwa na Rais kuwa sheria kamili. Na ina majina yake kamili kisheria.
Hakuna anayetaka kujua sheria zilizopitishwa leo, usikimbie hoja wacha utoto wako bibi.
 
Hatua muhimu sana imefikiwa leo, bunge na serikali wamejua kadri ambavyo wangezidi kuziba masikio ndio kelele za watanganyika zingezidi kuwasumbua masikioni.
 
Back
Top Bottom