Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Serikali yafuta mapendekezo ya kuzifanyia Marekebisho ya Sheria zinazohusu Umiliki wa Maliasili

Ukiona hivyo ujue serikali ndio imesitisha mpango huo, na wala sio bunge limetekeleza wajibu wake. Hakuna uwezekano wa bunge hili la majizi ya kura kwenda kinyume na matakwa ya serikali. Kuna uwezekano huo mkataba wa DP World ukaendelea kutekelezwa kimya kimya baada ya hizi kelele kupungua. Ogopa serekali inayoweza kuwaachia watu iliyowatuhumu kwa uhaini, huku uhaini ukiwa hauna dhamana.
 
Sasa hivi vipengele ulivyoweka vinamaanisha nini kwa uelewa wako?

Kwa uelewa wa kindergarten tu! Uwekezaji katika uendelezaji wa Bandari ni suala la maliasilia?
Duh..!!! Hivi maliasili ni Swala au wanyama pekee? Bahari siyo maliasili?
 
Leo bungeni serikali imefuta marekebisho yote iliyopendekeza ya sheria ya maliasili za Taifa ambayo yangewezesha IGA baina ya Tanzania na Dubai kuanza kuendesha bandari zetu.

Hakika nguvu ya umma dhidi ya serikali dhalimu imeshinda na mapambano yaendelee kuhakikisha hata IGA yenyewe inafutwa!
Si kweli fuatilia tena
 
Leo bungeni serikali imefuta marekebisho yote iliyopendekeza ya sheria ya maliasili za Taifa ambayo yangewezesha IGA baina ya Tanzania na Dubai kuanza kuendesha bandari zetu.

Hakika nguvu ya umma dhidi ya serikali dhalimu imeshinda na mapambano yaendelee kuhakikisha hata IGA yenyewe inafutwa!
Bunge linawapoza machungu wananchi kujifanya wanaweza kuigomea Serikali Mbona haikuugomea Mkataba wa DP WORLD wenye Utata mwingi
 
Leo bungeni serikali imefuta marekebisho yote iliyopendekeza ya sheria ya maliasili za Taifa ambayo yangewezesha IGA baina ya Tanzania na Dubai kuanza kuendesha bandari zetu.

Hakika nguvu ya umma dhidi ya serikali dhalimu imeshinda na mapambano yaendelee kuhakikisha hata IGA yenyewe inafutwa!
Hizi ni habari za Bunge lipi ?
 
Wasalaam ndugu zangu Watanzania!

Bunge leo limekataa kupitisha mabadiliko ya sheria 2 ambazo zilikuwa zinakinzana mkataba tata kati ya Tanzania na Dubai.

Binafsi niliwasilisha maoni yangu kwa kupinga mabadiliko haya ya sheria kwa kamati ya Bunge kupitia email yao.

- Nimewasilisha maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa

Tukumbuke sheria hizi mbili zilitungwa 2017 baada ya migogoro mikubwa ya madini katika awamu ya 5.

Pia Kuna Rufaa inasubiliwa kusikilizwa rasmi na kutolewa uamuzi, ukiliangalia maamuzi ya Bunge leo unapata picha kabisa kuwa Mahakama Rufani itawapa ushindi mkubwa wananchi kwa kusema wazi kuwa Dubai haikuwa na hadhi ya kusaini IGA na Tanzania, pia itasisitiza kuwa mkataba ulikiuka sheria zetu na hivo mkataba huu batili na hivo kuipa nguvu Serikali ya kwenda kuvunja rasmi mkataba huu tata.

Watanzania wameshinda. Watanganyika tumeshinda.
Halafu kulikuwa na watu waliowabeza Maaskofu kwa Tamko lao.
 
Wasalaam ndugu zangu Watanzania!

Bunge leo limekataa kupitisha mabadiliko ya sheria 2 ambazo zilikuwa zinakinzana mkataba tata kati ya Tanzania na Dubai.

Binafsi niliwasilisha maoni yangu kwa kupinga mabadiliko haya ya sheria kwa kamati ya Bunge kupitia email yao.

- Nimewasilisha maoni yangu kupinga marekebisho ya sheria ya ulinzi wa rasimali za Taifa

Tukumbuke sheria hizi mbili zilitungwa 2017 baada ya migogoro mikubwa ya madini katika awamu ya 5.

Pia Kuna Rufaa inasubiliwa kusikilizwa rasmi na kutolewa uamuzi, ukiliangalia maamuzi ya Bunge leo unapata picha kabisa kuwa Mahakama Rufani itawapa ushindi mkubwa wananchi kwa kusema wazi kuwa Dubai haikuwa na hadhi ya kusaini IGA na Tanzania, pia itasisitiza kuwa mkataba ulikiuka sheria zetu na hivo mkataba huu batili na hivo kuipa nguvu Serikali ya kwenda kuvunja rasmi mkataba huu tata.

Watanzania wameshinda. Watanganyika tumeshinda.
Habari ziwafikie FaizaFoxy THE BIG SHOW The Boss Ritz
 
Hii ni hatua nzuri na kubwa sana kwa watanganyika, inaonesha vile tukiamua kupigania jambo kwa umoja wetu, hayupo yeyote wa kutushinda.

elea kuupinga ule mkataba wa hovyo wa bandari, likiwemo Kanisa Katoliki kupitia waraka wake, ambao sasa nguvu zake zinathibitika kuanzia serikalini mpaka bungeni, wanasheria, na wengine wote wenye kuitakia mema Tanganyika yetu.
Hivi yule Mnyarwanda-Mnyakyusa anajisikiaje na upumbav wake pamoja na PhD yake ya sheria!
 
Sheria mpya nyingi zimepitishwa bungeni leo, mbali ya kanuni za bunge sheria zilizo rekebishwa ni.

1) Tume ya mipango 2023.
2) Marekebisho idara ya Usalama wa Taifa " TISS Amendments Bill 2023".
3) Laws Amendment Revisions 2023.
4) Marekebisho sheria ya ubia "PPP Amendment Bill 2023"
5) Written Laws Amendment Bill 2023"
6) Matumizi ya fedha 2023 (Apropriation Bill 2023.
7) Finace acts 2023.

Hiyo miswada yote yote imeshapitishwa na Rais kuwa sheria kamili. Na ina majina yake kamili kisheria.
Screenshot_2023-08-29-19-42-37-83_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
IMG_20230829_194330.jpg
20230829_205208.jpg
 

Attachments

Serikali ndo imeondoa hayo mapendekezo Bungeni. Bunge limeridhia mapendekezo hayo kuondolewa Bungeni
Acha uongo Kamati ya Bunge ilirudisha mapendekezo ya serikali juu ya mabadiliko kwa kuhoji mantiki ya mabadiliko,hivyo serikali imeshindwa kujibu hoja za kamati na hivyo marekebisho uchwara yametupwa kapuni rasmi.
 
Hayo madudu si mnajiandikia wenyewe tu na yanawasuta wenyewe Unamaanishana bunge liko makini au siyo?

Tulia kishasema, mjadala kuhusu IGA yaliyopitishwa bungeni kwa sasa hakuna , kawakumbusha wabunge wote, sasa tungoje kuja kusimamia uendeshaji.


Umeelewa kijana?
 
Back
Top Bottom