Serikali yaonesha ushabiki wa wazi kwa Yanga kupeleka mashabiki South Africa

Ila ni possesion,kama siyo possesion ingepewa jina lingine
 
Mkiongea as if Yanga ni Barcelona,kwa mpira upi amfunge Mamelodi,hebu acheni wehu
Kuichukia Yanga haibadili ukweli kwamba wana kikosi bora kuliko sisi...

Viongozi wa Simba wanapewa nguvu na nyinyi ambao mnapongeza kwenye hamna ...

Unafiki hautotyfikisha popote, lazima tubadilike na tuwatake viongozi wasajili kama watu wenye akili timamu.
 
Umezidiwa possession na goli huna,basi jisifu ungeshinda
 
Hicho kikosi bora wamefanya nini
 
Yanga waliiomba serikali kwa maandishi ,serikali imejibu kwa maandishi .
Shida ya Simba ni uongozi usio na ubunifu. Chifu Mangungo yupo yupo tu na mashabiki mbumbumbu.
Injia Hersi ana akili sana huyu kijana.
c waliambiwa waombe kwa maandishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…