Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
emotional trauma.?😂😂 Unaelewa maana yake au ni neno umeliona tu unaanza kuliandika popote ili uonekane unalijuaKama mbona una emotional trauma. So unataka na wafanyabiashara waachiwe huru mafuta ya petrol wauze wanavyotaka, pia na sukari.kama vile una chuki na wasiolima. Kuna utaratibu wa kila kitu katika nchi yenye utawala
Lilisitishwa ZanzibarKwani lile agizo la kuuza nje lilishasitishwa? sikumbuki hilo kufanyika.
Eenyi kizazi chanyoka msaidiweje mbona rangi zenu hazieleweki?Ngoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Sasa wapinzani wananyanganywa hoja, ndio shida ya kukosa ajenda za kudumu, na kudakia matukio, viva SamiaWaziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”
Lengo la Serikali mchele ushuke bei.
======
Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.
Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika"
Tanzania Web
Mkuu naomba hii habar vizurNgoja sasa muanze kuletewa ma michele yenye sumu, nakumbuka miaka ya 90s kampuni ya kina Mo Dewji ilileta mchele hatarishi kwa watu, serikali ya mzee Mwinyi ikajikoroga ikaupiga marufuku, ila sakata lake liliua watu wote walioshughulika na huo mchele kuanzia Long room hadi kwa wakemia wa nchi walioshughulikia.
Waliuawa vifo vya utata sana. Kwahio kuruhusu mchele toka nje ni fursa ya kuwaletea wananchi makanjanja na faida kwa wafanyabiashara na wala sio eti njia ya kupunguza makali ya bei ya mchele. Time will tell.
Huna shamba, mjini kuna pesa sasa tutaweka chakula kipi.Ni jukumu la kila mtanzania kuweka akiba ya chakula chake
Watashusha bei wenyewe bila kupenda maana tani 90,000 ni malori 3000Wakulima wa Tanzania wataanza kulalamika, maana wanaogopa sana ushindani na bidhaa kutoka Nje!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app