Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Tatizo la wasaidizi wa Mh Rais ni mihemko. Hawajui kinacho takiwa. Wapo kwa ajili ya kupiga tuu. Hawana huruma na Watanzania.
Mmoja anasema acha wakulima usiwapangie. Mwingine ana dharau bunge na kusema wajadili uganga wa kienyeji. Na Mama bado ana waona wako sawa.
Tuna fanyiwa majaribio.
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”

Lengo la Serikali mchele ushuke bei.

======

Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.

Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika"

Tanzania Web
Hii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
 
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt.Ashatu Kijaji akiwa Dar es salaam leo amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais Dkt.Samia “Tunatarajia kuanzia mwisho wa mwezi huu wa pili zao la mchele litapungua bei”

Lengo la Serikali mchele ushuke bei.

======

Serikali yatangaza matazamio kushuka bei ya mchele

Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji amesema Serikali imetoa vibali vya kuingiza mchele nchini Tani Elfu 90 kwa ruhusa ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutambua umuhimu wa zao hilo kwa Taifa na pia Serikali imeondoa baadhi ya kodi ili zao hilo liweze kuongezeka kwenye soko.

Waziri Kijaji ametoa kauli hiyo Dar es salaam leo ambapo amenukuliwa akisema “Tunatarajia kuanzia mwisho mwezi huu wa pili, wiki ya kwanza ya mwezi wa tatu zao la mchele litapungua bei na Watanzania waweze kufikia zao hilo na kununua katika bei inayohimilika"

Tanzania Web
Ni aibu kwa serikali kuagiza CHAKULA kutoka nje kusikojulikana ili iwauzie WANANCHI wake.
 
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
 
Hii nchi Bado sana,sasa tulikuwa na nafaka nyingi,bei ilikuwa poa,mkazuia wakulima wasiuze nje,baadae mksruhusu,nafaka ikauzwa nyingi nje,sasa mahitaji yakawa makubwa,bei ikapanda,sasa hv nafska imekuwa haba,mmeruhusu tuagize nje!!
Swali langu kwenu nyie kenge maji,kwani haiwezekani tulime wenyewe,mkulima apate faida,na mnunuzi apate unafuu wa kununua?
Mchele uwe buku moja,mkulima apate faida hata ya 300 kwa kila kilo,kwanini mnatuhusu nafska iuzwe nje mpaka bei inapanda juu ndani ya nchi
Baadhi ya sisi waafrika ni watu wa ajabu sana.
 
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Haya sasa....
 
Wakulima wa Tanzania wataanza kulalamika, maana wanaogopa sana ushindani na bidhaa kutoka Nje!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wakulima wa kitanzania wakizidisha uzalishaji mashambani na kuweka akiba ya chakula bado wana nafasi ya kuwashinda hao waingizaji chakula kibovu kutoka nje.

Kumbuka wafanyabiashara wao hujali faida zaidi kuliko afya na utu.
 
Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
Ungekuwepo wa kutosha kungekuwa na mfumuko? au unamtetea bwashee kutoweka control ya biashara ya mazao ya chakula kwenda nje, maana tunaambiwa wageni walikuwa wanaenda kununua mazao hadi vijijini kinyume na utaratibu....
 
Lilisitishwa Zanzibar
Kwa hiyo huku bara tupo kama popo, upande mmoja tunauza nje, upande mwingine tunaagiza toka nje, halafu tunasema tuna serikali!

Tunajiendea zetu tu, kama kundi la wana kondoo.
 
Kwani lile agizo la kuuza nje lilishasitishwa? sikumbuki hilo kufanyika.

Tunaongozwa na serikali kama ya wendawazimu, hawajielewi, huku inaruhusu kuuza nje, wakiambiwa kufanya hivyo kunazidi kuongeza mfumuko wa bei nchini, wanajibu kwa dharau ni zamu ya wakulima kufaidi.

Sasa huku wakulima wakiendelea kufaidi, nashangaa tena wanaagiza mchele toka nje, hii maana yake nini? kama tulichonacho tunapeleka nje, halafu tunaruhusu cha nje kiingie ndani kwa bei ya juu ile ile, hapa wamesaidia nini kupunguza tatizo la mfumuko wa bei?
Hii kitaalamu inaitwa,"NJE NDANI".
 
Mbona ma basmati yamejaa kwenye hoteli za wazenji na Michele huo ni test less kwani ulikuwa unaingiaje nchini na kibali kilikuwa hakipo?
 
Safi kabisa si walisema ni free market ingawa ilikuwa ya upande mmoja kwa mkulima wa ndani kuuza kokote ilihali wa nje kuleta ndani ilizuiliwa kwa hapa kuruhusu itasaidia sana maana wameona DD>SS

Though inafikirisha was it really for the sake of mkulima hizi sarakasi zote za Bashe au palikuwa na kitu nyuma ya pazia huenda watu walilangua mazao ya wakulima wakaweka store mbinu zikasukwa waziri akaingia kingi wameuza mzigo umeisha ndiyo ruksa ya kuagiza nje imetoka watu wameneemeka
 
Back
Top Bottom