Serikali yatoa kibali kuagiza mchele nje ya nchi
Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.
Hii kazi uliyojipa naona nawe utachanganyikiwa siku sio nyingi, mchele upo wa kutosha halafu uwe wa bei juu hivyo?!
 
  • Thanks
Reactions: nao
emotional trauma.?😂😂 Unaelewa maana yake au ni neno umeliona tu unaanza kuliandika popote ili uonekane unalijua

Wafanyabishara wa mafuta wana profit margin yao ambayo ipo guaranteed na serikali, mafuta yapande au yashuke, ndio maana matuta yalivyopanda bei sana mwaka jana serikali haikuwalazimisha washushe bei ili wananchi wapate nafuu ila ilitoa ruzuku kugharamikia kupanda huko

Ila kwa vyakula ni tofauti, mchele na mahindi kuna kipindi yanashuka sana kiasi kwamba hayamlipi mkulima, serikali haiwapi ruzuku, yakipanda ndio mnataka serikali iingilie ili yashuke?

Leo hii nyie ndio mnaoshangaa kwa nini watu wengi wenye mitaji mikubwa wanawekeza kwenye vituo vya mafuta badala ya kilimo
Silijui mkuu niambie Mana yake. Naona ego iko kazini. Mie Ni kilaza sijui kitu Nina Imani wewe unajua mno ivyo nieleweshe msomi uliyegundua kisomo. Salute kwako brain kubwa.
Mie Nina uwezo mdogo mno mkuu inawezekana hata paka wako akawa
emotional trauma.?😂😂 Unaelewa maana yake au ni neno umeliona tu unaanza kuliandika popote ili uonekane unalijua

Wafanyabishara wa mafuta wana profit margin yao ambayo ipo guaranteed na serikali, mafuta yapande au yashuke, ndio maana matuta yalivyopanda bei sana mwaka jana serikali haikuwalazimisha washushe bei ili wananchi wapate nafuu ila ilitoa ruzuku kugharamikia kupanda huko

Ila kwa vyakula ni tofauti, mchele na mahindi kuna kipindi yanashuka sana kiasi kwamba hayamlipi mkulima, serikali haiwapi ruzuku, yakipanda ndio mnataka serikali iingilie ili yashuke?

Leo hii nyie ndio mnaoshangaa kwa nini watu wengi wenye mitaji mikubwa wanawekeza kwenye vituo vya mafuta badala ya kilimo
Na wewe utakuwa una emotional pain trauma , katika ongea yako unatumia rational brain Ila Ni emotional brain ndio inayoongoza. So Kama hapa naona ego, arrogance unayo. So unajijua kuwa ndiye pekee unayestahili kujua ama kumiliki kitu. Human emotions zinajulikana so hunishtui. Anapenda ku boast coz of ego, anayo fear,pride, greed, hakuna jipya. Binadamu Ni yule yule na atabakia kuwa yuleyule Kama ambavyo maji yataendelea kuteremkia bondeni ama chuma kuvutwa na sumaku. Your survival instincts Ni kukutengenezea ama kulinda your self image sema mie nimechagua self actualization. Napenda innerself yangu Basi wala sihitaji nionekane. Mie kwanza kilaza wewe uko juu usikute hata umeshagundua alfabeti zingine ama bado unatumia hizihizi ambazo wajanja wenye akili waligundua.


Elewa kuwa am assshoole,am dumbsheet ,am loser,am failure, and all related to that.
Buy you're the top of the Everest peak,yaani wewe Ni mjanja ndiye unayejua Mana ya Hilo neno kuliko wengine Mana utakuwa umeligundua.
Let me leave your ego keep growing.
 
Siku zote njia ya mwongo ni fupi tulimwambia Bashe nchi haina chakula stop export ya mazao kwa muda mpaka hali ikawe vizuri, tukapewa majibu kwamba hatumsaidii mkulima shmbani. Leo tena tumeamua kufanya importation ni nini tunafanya??

Viongozi wetu wanatambua wanachofanya??
 
Huu ndio ujinga bwashee, tunauza quality, tunanunua mitumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu tunajisifu tumefungua nchi🫣🫣
Mbeya super umesombelewa kenya, sisi tumebaki na ule wa chenga ambao ungetumika kwa vitumbua na bado unauzwa zaidi ya buku tatu......bwashee bado anaendelea na ngonjera yake ya kumnufaisha mkulima.
 
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Kama Baraza la Ufalme wa Msoga limekaa kama kamati na kupitisha uagizaji wa Mchele ili wapige pesa,sisi ni nani Wasakatonge na Watumwa wao tupinge!

"Kifungu icho kinaafikiwa?-aliuliza Spika wa Bunge la Ufame wa Msoga kwa Wajumbe.

Mimi sikumbuki vizuri ila nilisikia sauti; NDIYO OOO.....

Imeisha iyo,kila mtu apambane na hali yake!
 
Mjinga tuu huyo Waziri wenu,hakuna sababu ya kuagiza mchele Nje ya Nchi maan upo wa kutosha Nchini.

Unaifahamu vizuri concept ya demand & Supply?? Uzuri wa market inaongozwa na hizo forces 2 na hapo ndo tunapata Market price.
 
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Ila Bibi anaendesha nchi kama lile Land cruiser lake la Royal Tour!!
 
Mbeya super umesombelewa kenya, sisi tumebaki na ule wa chenga ambao ungetumika kwa vitumbua na bado unauzwa zaidi ya buku tatu......bwashee bado anaendelea na ngonjera yake ya kumnufaisha mkulima.
Bashe ile kampuni ya magazeti ilimfia mikononi mwake!
 
Nchi iko Autopilot hii.....

Unasema wauze tu nje, unarudi kusema tunaagiza nje kupunguza bei ya ndani! Kinana na Bashe walipigania hasa mazao yauzwe nje, ina maana....

Patheticians on a wheel.
 
Wadanganyika tumegeuzwa duka la rejareja. Toa mzigo ingiza mzigo. Pakia pakua... Ilimradi tu boss apate super normal profit. Hapa machawa wanafumba macho na kuziba masikio, wanahofia kuulizwa sera za mwamba kuhusu mazao ya kilimo zilikuwa nzuri ama vp.
 
Ni aibu kwa serikali kuagiza CHAKULA kutoka nje kusikojulikana ili iwauzie WANANCHI wake.
Hakuna aibu yoyote ile.
Serikali haiuzi bali imetoa vibali kwa Korie, Metl walete mchele
 
Nchi iko Autopilot hii.....

Unasema wauze tu nje, unarudi kusema tunaagiza nje kupunguza bei ya ndani! Kinana na Bashe walipigania hasa mazao yauzwe nje, ina maana....

Patheticians on a wheel.
Bashe ameshindwa wizara.

Kinana nae kusemea wizara anakosea.

Na leo waziri wa biashara asema serikali itatoa kibali.

Hapa kwanza panaonyesha matatizo makubwa ya kiuongozi na mwingiliano wa majukumu.

Suala la chakula ni jukumu ya waziri wa kilimo na chakula.

Je, mheshimiwa Bashe yeye akiwa waziri ana mikakati ipi ya kuhakikisha uzalishaji upo katika hali inoridhishaaa?
 
Hakuna aibu yoyote ile.
Serikali haiuzi bali imetoa vibali kwa Korie, Metl walete mchele
Bado hio ni aibu kuagiza chakula kutoka nje.

Pia yanyesha kiwango kikubwa cha tamaa ya kupata faida kubwa.

Tatu, kunaonyesha jinsi waagizaji walivyo na nguvu kubwa ya ushawishi.

Na nne kutowajali wakulima ambao ndo wazalishaji kule mashambani.
 
Kwani lile agizo la kuuza nje lilishasitishwa? sikumbuki hilo kufanyika.

Tunaongozwa na serikali kama ya wendawazimu, hawajielewi, mawaziri wa viwanda na kilimo wanakanyagana, huku inaruhusu kuuza nje, wakiambiwa kufanya hivyo scarcity inazidi kuongeza mfumuko wa bei nchini, wanajibu kwa dharau ni zamu ya wakulima kufaidi.

Sasa huku wakulima wakiendelea "kufaidi" nashangaa tena wanaagiza mchele toka nje, hii maana yake nini? wamejua scarcity ipo, kama tulichonacho tunapeleka nje, halafu tunaruhusu cha nje kiingie ndani kwa bei ya juu ile ile, hapa wamesaidia nini kupunguza tatizo la mfumuko wa bei? na quality je?!
Wanaagiza kwa ndege au meli?,, Kama ni kwa meli, huo mchele kama alivyoongea Bashe,, utakuja kuua bei ya mchele wa wakulima, mwezi may
 
Waziri wa viwanda na biashara Ashantu Kijaji amesema serikali inatoa vibali kwa wafanyabishara wa hapa Tanzania ili waagize mchele tani elfu tisini ili kukabiliana na tatizo la mfumuko wa bei nchni.

Kwanza wifungua nchi wafanyabishara wakauza nje sasa wanawapa tena wakelete kile walichouza nje .

Tukiendelea kufanya majaribio ya maisha ya watanzania ipo siku tutajuta


USSR
Dunia ni kununua na kuuza. Unauza kwa wingi alafu unanunua kwa uchache. Unapata ela alafu unatoa ela. Huoni Urusi ana ndege Antonov lakini ananunua pia ndege za Boing au Airbus. Ulimwengu wa biashara ni Uza Nunua au Lima Uza.Acheni sera zenu za woga za lima, Vuna, Weka Akiba. Kisipokuwepo kuna sehemu kipo tutanunua, na Kikiwepo kuna sehemu hakipo tutapeleka.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom