The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #81
Swaga za kindezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swaga za kindezi
Wanakuja wanawashangaa then kura wanapiga ccmSisi hatuleti watu kwa malori, kwetu watu wanakuja kwa ridhaa yao na sio kwa vitisho vya dola.
Inafahamika walamba asali, vibaraka na chawa wao wakisikia habari zetu Tahrir huwa full kihoro.Swaga za kindezi
Basi tumuwombe wakati wako kwenye uchunguzi Tozo zisimame kwanza kwa muda,hadi hapo watakapomaliza uchunguzi wao!!!Tatizo alisababishe yeye alafu anakuja kutuzuga na timu za kuchunguza namna ya kutatua ushubwada mtupu. Typical politician shenanigans.
😜😜😜😜😆😆😆😆 Rubbish 🚮 🚮Inafahamika walamba asali, vibaraka na chawa wao wakisikia habari zetu Tahrir huwa full kihoro.
Vipi mkisikia kuhusu Tahrir huwa hata mambo ya m*ususu mnayakunbuka kweli?
Subirini kidogo punde mtatusikia.
Zile kura zinazoletwa na polisi kisha maafisa wa tume ya uchaguzi wanakaa kimya! Au ile kuengua wapinzani ili CCM wapite bila kupingwa? Au ile ya kuzuia na kugoma kuapisha mawakala wa upinzani ili uchakachuzi ufanyike waziwazi?Wanakuja wanawashangaa then kura wanapiga ccm
😜😜😜😜😆😆😆😆 Rubbish 🚮 🚮
Waziri bwege tu! Eti ana PhD ya uchumi; TOZONOMICS, FU**K YOU!Hii ndio taarifa ya motomoto..
=======
Serikali imeteua timu ya wataalam kufanyia kazi mkanganyiko wa tozo kwenye miamala ya fedha za simu na benki. Waziri Mwigulu Nchemba akiwa Tarime mkoani Mara kwenye mkutano wa hadhara amesema Serikali itaendelea kutoza tozo hizo lakini itafanya mabadiliko kuakisi mapendekezo ya chama tawala.
Wataalam wanaangalia namna bora ya kukusanya mapato na watakuja na 'njia rafiki zaidi' kwenye namna ambayo itajali maslahi ya watanzania. Alisema waziri Mwigulu
=======
Tarime. The government has appointed a team of experts to work on the controversial levies on electronic money transactions, the Minister of Finance and Planning said yesterday.
Dr Mwigulu Nchemba told a public rally Sirari, Tarime District, that the government would continue charging the levies on electronic money transfers and other taxes, noting, however, that some changes will be effected to reflect the recommendations of the ruling party on the matter.
“Following the party’s recommendations, the government has appointed a team of experts which has already started undertaking a comprehensive analysis of the matter,” he said, and urged Tanzanians to be patient.
The experts are looking at the best way of collecting the revenue.
Dr Nchemba said the team of experts will then come up with “the most friendly way” of collecting the revenue in a manner that will put into consideration the interests of Tanzanians.
SOURCE: The Citizen
Lipa tozo wewe acha kuandika pumba hapa hazitakusaidia.Waziri bwege tu! Eti ana PhD ya uchumi; TOZONOMICS, FU**K YOU!
Mtu akishaanza kusema nina elimu ya hapa na pale ni shida tu!Hamna serikali hapa
Siko TZ, Boss! But gifted to see beyond the horizon.Lipa tozo wewe acha kuandika pumba hapa hazitakusaidia.
🚮🚮🚮🚮 Unakula vya wanaume wa hukoSiko TZ, Boss! But gifted to see beyond the horizon.
Wanaume ni akina nani? KIswahili kinawapa ubavu wa kutunga sentensi tata! Try this, change your life and be what we are. Don't, foolishly, pick rubbish from the dense pit.🚮🚮🚮🚮 Unakula vya wanaume wa huko
#53.naona ana mchango kama ninavyowaza mkuuUnataka waamuaje?