Shaka apiga ‘stop’ agizo la kuzuia bodaboda, bajaji kuingia katikati ya Mji wa Dar
Ccm ni ile ile.

Ccm hata tukiwapa miaka 800 bado maendeleo tutaishia kuyaona kwenye tv.

Leo wanataka majiji masafi, majiji mazuri wakati wakazi wake 98% hawana uhakika wa milo 2 kwa siku.

Tunataka kuona majini yanayopendeza basi tuanze kupendezesha maisha ya wanachi kwanza. Kama wananchi hawnaa uwezo jiji bado litachafuka tu.

Leo unapiga marufuku bodaboda wasiingie mjini, kwanza huu ni upendeleo, kwamba mjini wanatakiwa kuingia wenye magari tu, wenye uwezo mdogo kama pikipiki hawaruhusiwi, huu ni upendeleo na ni kinyume cha haki za binadamu.

Kwa ujumla ccm ni laana kwa nchi hii.
 
Mkuu hivi umeelewa msingi wa swali langu? Hiyo lugha uliyoitumia mtu ya kwenda chooni na kurudi kwenye "laptop" sikutegemea kabisa kutoka kwa mtu kama wewe. Lakini sishangazwi sana katika kipindi kama hiki kwa watu kujitoa ufahamu na kujipendekeza ili tu wapate teuzi.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Ujumbe wangu ni kutembea na kutoka nje ya nyumbani unayoishi ili ujionee faida za royal tour, na sina zaidi ya hapo.
 
Sitaki kutia neno sikiliza hadi mwisho,



#CHAMAIMARA
#KAZI IENDELEE

Kuna watu wanamchonganisha Rais na wamachinga pengine kwa kujua au kutokujua,

Kwanini muwapore vitu vyao tena hata baada ya kuwaongeza siku haya mama Samia hakuagiza,

Machinga wanabeba Uchumi mdogo wa nchi (micro economy) lazima tuwajali na kuwathamani sana,

Nia ya Rais ni njema sana kuwapatia permanent premises ili wapatiwe mikopo ili waende hatua za juu zaidi,

Wasaidizi wa Rais waelewe vizuri nia njema ya Rais wetu bila kumchonganisha na wapigakura wake,


Hongera sana CCM,

Leo mmeonesha nyie ndio chama dola na kila mtu yuko chini ya Chama na Wananchi ndio msingi wa yote,

#VIVA BODABODA
#VIVA BAJAJI
#VIVA MACHINGA
 
Ujumbe wangu ni kutembea na kutoka nje ya nyumbani unayoishi ili ujionee faida za royal tour, na sina zaidi ya hapo.
Mkuu Bukililo hiyo ndiyo lugha sahihi na ya kiungwana yenye kufikisha ujumbe pasipo kumuudhi mtu mwingine. Lakini pia swali langu lilijielekeza katika kutambua "royal tour documentary' ya Rais wetu imefikia wapi na wala si mafanikio yake.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Daaah jamaa ameongea kwa Uchungu sana,
Asante Sana CCM kusimama na wananchi wakati wote,
Chama lazima kitetee waliokiweka madarakani,

Hongera Rais Samia,
Hongera Chongole
Hongera Shaka,
#KAZIIENDELEE
CCM imepata viongozi imara sana,
Leo nimeona nguvu ya chama dhidi ya dola,

Hongera sana Shaka, endelea kutupigania ndg zako,
 
Kuna watu wanamchonganisha Rais na wamachinga pengine kwa kujua au kutokujua,

Kwanini muwapore vitu vyao tena hata baada ya kuwaongeza siku haya mama Samia hakuagiza,

Machinga wanabeba Uchumi mdogo wa nchi (micro economy) lazima tuwajali na kuwathamani sana,

Nia ya Rais ni njema sana kuwapatia permanent premises ili wapatiwe mikopo ili waende hatua za juu zaidi,

Wasaidizi wa Rais waelewe vizuri nia njema ya Rais wetu bila kumchonganisha na wapigakura wake,


Hongera sana CCM,

Leo mmeonesha nyie ndio chama dola na kila mtu yuko chini ya Chama na Wananchi ndio msingi wa yote,

#VIVA BODABODA
#VIVA BAJAJI
#VIVA MACHINGA
CCM CHAMA,

CCM ni chama cha watu wote na kimejipambanua
 
Mtoto wa maskini?!

Huyo wa mtoto wa maskini ni yupi... mmiliki wa ajaji/bbodaboda, dereva au anayepanda bajaji/bbodaboda?

Kama anayepanda... HAPANA!

Labda kama ule uchumi wa kati waliotuambia The World Bank, ndo upo hapo Daslam!!
 
Kiki kiki kiki., sasa chama kitaingiliaje suala la linahusu machinga na Rais aliteuwa watu makini wanaohusika na jambo hilo akiwemo makala? kama wameshindwa kuwajibika na serikali ina nia ya dhati kwa hawa waitwao wamachinga kwanini kwanza wasiwajibishwe hawa wenye dhamana nao? leo kila mtu anakuja na matangazo na maazimio yake

Polisi wanapora wanasema maelekezo yametoka juu, na wale wanavunja maelekezo ametoka juu sasa wananchi washike wapi?
 
Mkuu Bukililo hiyo ndiyo lugha sahihi na ya kiungwana yenye kufikisha ujumbe pasipo kumuudhi mtu mwingine. Lakini pia swali langu lilijielekeza katika kutambua "royal tour documentary' ya Rais wetu imefikia wapi na wala si mafanikio yake.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Swali gumu kwani inabidi vipande walivyorekodi viende Marekani ili vikaunganishwe ipatikane documentary moja. Nadhani ikiwa tayari itaanza kuonekana Youtube, lakini ni kwa kibali cha serikali yetu iliyomchangia Samia akaweza kuitengeneza.

Subira mkuu Mbenge.
 
"Eneo kubwa na la msingi tulioahidi watanzania ni namna ya kusimamia haki na usawa na fursa za maendeleo zinatolewa wakati wote nabkuhakikisha upatikanaji wa Ajira kwa Vijana"View attachment 1993283View attachment 1993285View attachment 1993284View attachment 1993287View attachment 1993288View attachment 1993286
Hii mbinu ya Serikali na ccm,mmoja anatengeneza tatizo,mwingine anatokea analitatua,wameikopy kwa jiwe Maghufuri.
Tatizo tumeishawashitukia.
 
Ni documentary muhimu sana ambayo maudhui yake yatakuwa na faida nyingi sana za kiuchumi. Ni muhimu sana kwa wahusika wafanye wawezalo ikamililke upesi iwezekanavyo.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wanamchonganisha Rais na wamachinga pengine kwa kujua au kutokujua,

Kwanini muwapore vitu vyao tena hata baada ya kuwaongeza siku haya mama Samia hakuagiza,

Machinga wanabeba Uchumi mdogo wa nchi (micro economy) lazima tuwajali na kuwathamani sana,

Nia ya Rais ni njema sana kuwapatia permanent premises ili wapatiwe mikopo ili waende hatua za juu zaidi,

Wasaidizi wa Rais waelewe vizuri nia njema ya Rais wetu bila kumchonganisha na wapigakura wake,


Hongera sana CCM,

Leo mmeonesha nyie ndio chama dola na kila mtu yuko chini ya Chama na Wananchi ndio msingi wa yote,

#VIVA BODABODA
#VIVA BAJAJI
#VIVA MACHINGA
Huu ni ule ule upumbavu wa kusema rais anapotoshwa na washauri wake utadhani rais ni zuzu asiye na akili. Rais ndiye anajichonganisha mwenyewe. Nchi yetu system ya uongozi imepitwa na wakati. Haiwezekani rais ndiye awe think tank wa kila kinachotokea kwenye nchi. Akiambiwa inahitajika system overhaul anajitoa akili na kusema eti apewe muda aujenge uchumi wakati kujenga uchumi bila kwanza kuweka misingi mizuri ya uongozi ni kitu kisichowezekana.
 
Back
Top Bottom