Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitaki kutia neno sikiliza hadi mwisho,
#CHAMAIMARA
#KAZI IENDELEE
Sitaki kutia neno sikiliza hadi mwisho,
#CHAMAIMARA
#KAZI IENDELEE
Magaidi utawajua tu.Tengeneza tatizo halafu njoo litatue huku ukipigiwa na makofi.
CCM ni laana kwa Nchi hii.
Vipi la wamachinga, lilizingatia ahadi za chama za kuwalinda watoto maskini ? Bila shaka aulizwe Shaka alijibuSitaki kutia neno sikiliza hadi mwisho,
#CHAMAIMARA
#KAZI IENDELEE
Kccm ccm ,mwenezi ana pawa kuliko mkuu wa mkoa.Naipenda CCM na Serikali lakini wakati mwengine tukubali kuna watu hawakustahili kuwepo hapo walipo!!..Hivi Mwenezi wa chama ana wezaje kutoa Kauli ya kukemea utendaji wa mkuu wa Mkoa!!..Huyu ana jua kashkash za Hawa Boda Boda hapo ferry?!...Au kule kariakoo!!..
Ina bidi katiba ya chama ifanyiwe marekebisho!!!Kccm ccm ,mwenezi ana pawa kuliko mkuu wa mkoa.