Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hajasalitiwa mtu, ukiwa na hekima na mwenye kuona mbali ni lazima utagundua Rais wa sasa ana lengo gani na nchi hii.Team JPM chuma wenzako uliowasaliti ndio wana hasira. Kwani walikuomba msaada uwasaidie!?