Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Hajasalitiwa mtu, ukiwa na hekima na mwenye kuona mbali ni lazima utagundua Rais wa sasa ana lengo gani na nchi hii.Team JPM chuma wenzako uliowasaliti ndio wana hasira. Kwani walikuomba msaada uwasaidie!?
Yule mliyekuwa mnamsifu wakati ule alikuwa na lengo gani na nchi hii!?Hajasalitiwa mtu, ukiwa na hekima na mwenye kuona mbali ni lazima utagundua Rais wa sasa ana lengo gani na nchi hii.
Nchi ishakuwa ngumu,kiongozi wa CCM badala ya kusimamia ilani anampiga mkwara mkuu wa mkoa.Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Hivi Chaka ni zaidi ya mkuu wa mkoa?Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Kusimamia haki gani,kuna haki gani Tanzania mnasimamia,Sasa kila mtu ana sharubu.Naomba na makatibu wakuu wa vyama vyote nao watoe neno.Mwingiliano kila mahali."Eneo kubwa na la msingi tulioahidi watanzania ni namna ya kusimamia haki na usawa na fursa za maendeleo zinatolewa wakati wote nabkuhakikisha upatikanaji wa Ajira kwa Vijana"View attachment 1993283View attachment 1993285View attachment 1993284View attachment 1993287View attachment 1993288View attachment 1993286
Kaka unafukua makaburi sijui kama utaweza kuyafukia.Yule mliyekuwa mnamsifu wakati ule alikuwa na lengo gani na nchi hii!?
Safi sana chiefKatibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Hawa CCM waiache serikali ifanye kazi yake.Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Mtu na nusu,Katibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
nzuriKatibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Shaka ni mtu na nusuKatibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
Zuzu ni weweViongozi mazuzu wanasifiwa na wananchi mazuzu! Kazi iendelee.
DaaahViongozi mazuzu wanasifiwa na wananchi mazuzu! Kazi iendelee.
Shaka Mtu na nusuKatibu wa Halmashauri kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Ndugu. SHAKA HAMDU SHAKA leo Oktoba 31 atazungumza na waandishi wa vyombo vya Habari kuanzia saa 6 mchana ofisi Ndogo za CCM - LUMUMBA Dar es salaam...
NUKUU: KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENEZI CCM TAIFA SHAKA HAMDU SHAKA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO TAREHE 31/10/2021
"Chama Cha Mapinduzi ndicho kimepewa dhamana ya kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, hivyo ndicho chenye mkataba na wananchi nini kifanyike...
DaaahTengeneza tatizo halafu njoo litatue huku ukipigiwa na makofi.
CCM ni laana kwa Nchi hii.