daniel lufumbula
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 106
- 176
acha ushamba ww,, unavaaje nguo zajesh ww? ili iweje,, watu wamesota mafunzo mda mrefu vichapo na mambo magum sana halaf ww unakuja kuvaa kizembezembe tu,, hata hufukiliii hata kuleta huu uz hapaNguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.
Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
Hakuna jeshi duniani linapitia mafunzo makali na bora kama jeshi la Marekani.acha ushamba ww,, unavaaje nguo zajesh ww? ili iweje,, watu wamesota mafunzo mda mrefu vichapo na mambo magum sana halaf ww unakuja kuvaa kizembezembe tu,, hata hufukiliii hata kuleta huu uz hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
HV una akili Kweli unadhani jeshi Ni wajinga mtu anaweza kutupia gwanda za jeshi na kwenda nayo huko namanjire kunyanyasa raia na kutapeli mm nasepa hata lesso Ni kosa kisheriaa Hili jeaho liheshimiweNguo za jeshi zina nembo bosi. Mabaka ya kwenye nguo hayajengi uhalali wa sare za jeshi bali nembo ya jeshi.
Kuzuia utapeli ni kisingizio tu. Mbona kila siku watu wanatapeliwa fedha kwa kutumia simu? TCRA wapo na jeshi lipo lkn hawana wanachofanya? Wanauona utapeli kwenye mavazi tu?
Ni ujinga mno kuvaa sare hizo wacha wpigwe tuacha ushamba ww,, unavaaje nguo zajesh ww? ili iweje,, watu wamesota mafunzo mda mrefu vichapo na mambo magum sana halaf ww unakuja kuvaa kizembezembe tu,, hata hufukiliii hata kuleta huu uz hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini uone kuwa haitawezekana wakati tunaona sehemu zingine jambo hilo lipo huru na hakuna hofu hiyo unayoisema wewe?Kila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.
Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
View attachment 2734897
Akili za kindezi hizi. Jeshi linaheahimiwa kwa mavazi?? Jeshi linaheahimiwa kwa mbinu za kivita na weledi wake. Siyo kuvunjia tofali kichwani na kulingishia raia mavaziHili jeahi liheshimiwe
Alikuwa sahih snaa katot Cha nurseri najuwa nnKuna kaujinga, kaushamba na kaulimbukeni fulani kanatusumbua watanzania.
Nakumbuka hata prof. Ndalichako kwa umbumbumbu huu huu kama walionao wanajeshi alipiga marufuku wanafunzi wa sekondari , msingi na chekechea kuvaa majoho wakati mahafali. Ni upuuzi.
Ninyi mnaovaa hayo maguo ndio washamba.Nimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
et marekan!!unawaabudu sana hao wajinga wenzio,, kaish huko bas,, usitulinganishe ss na sheria za hao pimbi,,, ko wao ndo wanamafunzo makal sana kutuzid ss?? wabongo na vtu vya ugaibun bana, changamoto,, jitahid hata na ww uoende vya kwen maana ndipo ulipo kulia mkuu.Hakuna jeshi duniani linapitia mafunzo makali na bora kama jeshi la Marekani.
Penal code (Chukua Penal code iliyofanyiwa marekebisho june 2022) Unaweza ukachukua Kifungu cha 178 chote kakisome ndio kuna hilo katazoNi kifungu kipi kinachosema kuwa ni kosa kuvaa mavazi yanayofanana na ya jeshi.
Shida yako unaona wasanii na watu maarufu wakivaa bhasi unajua ni wote.Kwanini uone kuwa haitawezekana wakati tunaona sehemu zingine jambo hilo lipo huru na hakuna hofu hiyo unayoisema wewe?
Hujui umuhimu wa hilo kaa kimya, ni hatariNimemsikiliza askari aliyekuwa akihojiwa na CloudsTV anasema sheria ya mavazi ya jeshi unasema;-
"Ni marufuku raia kuvaa sare za jeshi ama mavazi yanayofanana na sare za jeshi". Ili iweje?
Yaani ktk zama hizi za sayansi na teknolojia bado jeshi letu linataka kujitofautisha na raia kwa mavazi? Mwanajeshi ajitofautishe kwa umahiri wa kung'amua na kuzima nia na jaribio la adui kutaka kuivamia nchi yetu. Baasi! Siyo hizi blah blah za kuwalingishia raia gwanda za jeshi.
Kule nchi za watu mpk walevi na mateja wanavaa mavazi yanayofanana na sare za majeshi ya nchi zao. Mbona hatujasikia wakipata shida ya kiusalama?
Tuachane na ushamba huu. Nakumbuka hata bendera ya taifa kabla ya Kikwete kuwa rais ilikuwa ni marufuku kukutwa hata na leso inayofanana na bendera yetu ya taifa. Mhe. Kikwete akaondoa ushamba huu.
Ni wakati wa kuondoa ushamba wa kuzuia raia mavazi yanayofanana na sare za kijeshi sasa.
Wanajeshi huwa wanatumia gwanda zao kunyanyasa au kutapeli raia??HV una akili Kweli unadhani jeshi Ni wajinga mtu anaweza kutupia gwanda za jeshi na kwenda nayo huko namanjire kunyanyasa raia na kutapeli mm nasepa hata lesso Ni kosa kisheriaa Hili jeaho liheshimiwe
Lakini kwanini wavae. Hebu fikiria mtu kavaa full uniform kama mjeda au polisi huoni Kwa nchi kama yetu anaweza tumia huo mwanya kutapeli/kunyanyasa watu?
Hapana sio wasanii au uvaaji wowote unaohitaji kibali.Shida yako unaona wasanii na watu maarufu wakivaa bhasi unajua ni wote.
Hata Tanzania Imeruhusu Matumizi ya sare hizo Kwa mtoto yoyote au msanii kulitumia kwenye Kazi ya sanaa na sio kuvaliwa mtaani kama Nguo..
Nilipost Screenshot ya Hiyo Part ya sheria soma Coments #17
Acha ujingaKila nchi inaongozwa kwa utaratibu huwezi kuamka tu huko Umeshiba maharage unafikira kuvaa Combart za jeshi Watu wametoa machozi,jasho na damu kuzipata hizo.
Licha ya hivyo Tukumbuke kuwa kila mtu akianza kujiamria kutumia Mavazi ya Jeshi au taasisi yoyote kwa kuamua tu sidhani kama itakuwa sahihi.
Na hakuna nchi ambayo mtu anaamua tu kuvaa combart its Either ni msanii ama mwanamziki ambao kwa sheria hiyo hiyo ya Penal code 178 imeruhusu mtu yyte kutumia ila kwa kibali maalum cha kuzitumia kwa shughuli za kisanii
View attachment 2734897