NakaziaWewe ndio mshamba sasa kakosea nini kueleza alichokiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWewe ndio mshamba sasa kakosea nini kueleza alichokiona
Kuvuka mpaka na silaha ya kivita is an act of war. Unless otherwiseduu wale jamaa kosa lao kuvuka mpaka au kuna siasa ndani yake???
khaa majanga sanaa... ndo wafukuzwe??? sia wangeonywaa tu aiseeKuvuka mpaka na silaha ya kivita is an act of war. Unless otherwise
Sometimes kwenye haya mambo hatuangaliii intention ya mkosaji tunaangalia tu gravity of an offence ( uzito wa kosa bila kuangalia nia ya mkosaji) Malawi wangeweza ku respond in any how wangeonekana wanajilinda( self defense hata kwa kurusha kombola) na dunia ingewaelewa. Kuna majirani makosa Kama haya hayawezi kutokea kabsa mfano: Pakstan na India au Korea kusini na Kaskazini etc.khaa majanga sanaa... ndo wafukuzwe??? sia wangeonywaa tu aisee
Wamalawi pia wangeweza kuwaua wale askari au kuwaachia raia wa Kule wawaue ila ndio hivo jirani mwema alielewa. Ndio maana hata kufukuzwa kwao kukawa publicly na haraka sana na maonyo Kwa askari wengine.Sometimes kwenye haya mambo hatuangaliii intention ya mkosaji tunaangalia tu gravity of an offence ( uzito wa kosa bila kuangalia nia ya mkosaji) Malawi wangeweza ku respond in any how wangeonekana wanajilinda( self defense hata kwa kurusha kombola) na dunia ingewaelewa. Kuna majirani makosa Kama haya hayawezi kutokea kabsa mfano: Pakstan na India au Korea kusini na Kaskazini etc.
Kina yakhee washakutapeli nini mkuu? 😀😀😀😂Matapeli hao
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa askari haruhusiwi kuvuka mpaka kwenda kumkamata mtu aliekatika nchi nyingine bila idhini au ruhusa ya mamlaka ya nchi husika. Kwa vile Malawi ni nchi huru yenye jeshi lake na polisi wake, ilitakiwa polisi wetu wafanye mawasiliano na polisi wa Malawi ili polisi wa Malawi wawakamate wale vibaka na kuwakabidhi kwa polisi wa Tanzania pale mpakani tena katika upande wetu. Ile ya kuingia na bunduki ktk ardhi ya nchi nyingine kimataifa inachukuliwa kama vile ni uvamizi wa kijeshi dhidi ya nchi nyingine.duu wale jamaa kosa lao kuvuka mpaka au kuna siasa ndani yake???
Kweli kabisa mkuu. Askari wa nchi moja kuingia katika ardhi ya nchi ya pili na silaha, kimataifa inahesabika kuwa ni uvamizi, kwahiyo wangefanya lolote wanalotaka kufanya kwa wale polisi na bado sheria za kimataifa zingewalinda maana ingeonekana kuwa walikuwa wanatekeleza wajibu wao, ili kuilinda ardhi yao dhidi ya uvamizi. Hata juzi kuna mwanajeshi wa Congo aliuwawa huko Rwanda baada mwanajeshi huyo wa Congo kuvuka mpaka na kuwafuata watu waliofanya vurugu Congo. Kwahiyo pale tatizo halikuwa hao watu waliofanya fujo Congo na kukimbilia Rwanda, bali tatizo lilikuwa ni yule mwanajeshi kuvuka mpaka wa Congo na kuingia Rwanda na silaha.Sometimes kwenye haya mambo hatuangaliii intention ya mkosaji tunaangalia tu gravity of an offence ( uzito wa kosa bila kuangalia nia ya mkosaji) Malawi wangeweza ku respond in any how wangeonekana wanajilinda( self defense hata kwa kurusha kombola) na dunia ingewaelewa. Kuna majirani makosa Kama haya hayawezi kutokea kabsa mfano: Pakstan na India au Korea kusini na Kaskazini etc.
Umenena vyema kiongozi, kosa walilofanya wale polisi kuvuka mpaka na silaha ni STRICT LIABILITY ( maadamu umetenda kosa ni lazima uadhibiwe hakuna justification yoyote itayokutoa kwenye hatia chini ya jua)Kweli kabisa mkuu. Askari wa nchi moja kuingia katika ardhi ya nchi ya pili na silaha, kimataifa inahesabika kuwa ni uvamizi, kwahiyo wangefanya lolote wanalotaka kufanya kwa wale polisi na bado sheria za kimataifa zingewalinda maana ingeonekana kuwa walikuwa wanatekeleza wajibu wao, ili kuilinda ardhi yao dhidi ya uvamizi. Hata juzi kuna mwanajeshi wa Congo aliuwawa huko Rwanda baada mwanajeshi huyo wa Congo kuvuka mpaka na kuwafuata watu waliofanya vurugu Congo. Kwahiyo pale tatizo halikuwa hao watu waliofanya fujo Congo na kukimbilia Rwanda, bali tatizo lilikuwa ni yule mwanajeshi kuvuka mpaka wa Congo na kuingia Rwanda na silaha.
Hahahahaha dah!Ushamba mzigo kufika hapo Nakonde (border town) unaona umeyapatia!
Umeona eee? Ukisikia mtu kamuuwa mkewe pamoja na watoto na yeye kujinyonga sababu ya mgogoro wa wivu wa kimapenzi usishangae. BINADAMU TUNATOFAUTIANA SANAHahahahaha dah!
Nalog off Z
Wazee wa Six pack,yaani demu kama hujamnunulia Six pack hakuelewi kabisa.Pesa zambia ipo, bidhaa ziko chini, fursa ni nyingi iwe lusaka, iwe kitwe, iwe copperbelt ni wewe tu, sema jamaa wanakula sana bata wabongo wanasubiri,
Mkuu hilo ni kweli kabisa sipingani naweUmeona eee? Ukisikia mtu kamuuwa mkewe pamoja na watoto na yeye kujinyonga sababu ya mgogoro wa wivu wa kimapenzi usishangae. BINADAMU TUNATOFAUTIANA SANA
Ya ni kweli mkuu, laiti wasinge adhibiwa, basi kimataifa ingeonekana kuwa swala lile lina baraka ya serikali. Hivi inawezekana vipi polisi wanaosomea mambo sheria katika majukumu yao ya ukamataji washindwe kujua kuwa kuvuka boda na kuingia nchi nyingine na silaha ni kosa kubwa sana kimataifa? Ile haikuwa aibu yao bali ilikuwa ni aibu ya serikali, maana inaonekana kuwa askari wetu huwa hawafundishwi hata ramani za mipaka yetu.Umenena vyema kiongozi, kosa walilofanya wale polisi kuvuka mpaka na silaha ni STRICT LIABILITY ( maadamu umetenda kosa ni lazima uadhibiwe hakuna justification yoyote itayokutoa kwenye hatia chini ya jua)
Ukweli mtupu mkuu. Jamaa anaonekana ana tatizo kubwa sana kwa upande wa upstairs 😀😀😂😂Umeona eee? Ukisikia mtu kamuuwa mkewe pamoja na watoto na yeye kujinyonga sababu ya mgogoro wa wivu wa kimapenzi usishangae. BINADAMU TUNATOFAUTIANA SANA
Labda sababu ya vita vya Ukraine na athari zake.Ukweli mtupu mkuu. Jamaa anaonekana ana tatizo kubwa sana kwa upande wa upstairs 😀😀😂😂
Hawa ndo wale watoto wa kiume wanaojisaidia haja ndogo huku wamechuchumaa.Labda sababu ya vita vya Ukraine na athari zake.
Hawa ndo wale watoto wa kiume wanaojisaidia haja ndogo huku wamechuchumaa.
Labda hio itakua Ni Rand ya Upongoji.Hajui value ya Kwacha huyu, kwasasa wanasema Zambian Kwacha inafanya vizuri kuliko Rand ya South Africa
Mkuu rudi juu kidogo usome post yang namb #275 utaelewa. Kwacha ya Zambia ipo juu ya rand ya South kwa zaidi ya miaka 7 now.Labda hio itakua Ni Rand ya Upongoji.