Siku hizi hakuna raha, hakujulikani kama kumekucha wala mvuto wa viongozi....! Mambo yapo shagalabagala...!

Siku hizi hakuna raha, hakujulikani kama kumekucha wala mvuto wa viongozi....! Mambo yapo shagalabagala...!

Tangia kalemani aondoke wizara ya nishati umeme umekuwa wa shida kinoma mwanzoni tulidanganywa matengenezo huu ni mwezi pili umeme unawaka kwa nusu saa badae unakata siku nzima
Sitaki kuamini na wewe uliwaamini Wahuni walioshika madaraka hivi sasa ambao kwao mpango mzima ni kula mpaka wavimbiwe.
 
Usiji-stress na hili taifa hata hao viongozi wanaolia lia majukwaani kujifanya wana uchungu sana na hii nchi ni wanafiki tu kinachowaweka pale ni njaa zao muhimu wewe tafuta hela familia yako ifurahi watoto wasome wapate maarifa walale pazuri wazazi wako wafurahie uwepo wako usubiri siku ya kufa ufe lako liishe.

Wanasiasa ni mapunguani ukiwafuatilia sana unavurugikiwa!
 
Haya ni madhara ya kuwa na viongozi wasio na ridhaa ya umma. Na nina uhakika watu watazidi kupuuza viongozi kwani hawako tayari tena kushiriki kwenye chaguzi za kihuni. Hiki kitendo cha watu kupuuza box la kura, kitazidi kusababisha watu kudharau viongozi kwani hawako madarakani kwa ridhaa yao. Natabiri kutokea machafuko huko mbeleni ili kurekebisha huu uhuni wa kiutawala unaondelea hapa nchini.
Machafuko yatakuja kutokea wakati mimi na wewe tukiwa tunaishi ndani ya nyumba zetu za milele.

Hulka ya kitanzania ya kutopenda vurugu haikuanza baada ya uhuru, ni sehemu ya DNA ya watanzania.
 
Who's president of Tanganyika? This is person who's from another country who benefits our own resourses for her benefits with her fellow men and women.Yes your good students, 💯 marks.
Yaan unamuita Rais jini mahaba!! wewe inatakiwa unachanwa tumbo ukiwa hai bila ganzi
 
Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Sio kweli, huku Kitaa le watu tunakunywa na mzunguko umeanza kurudi labda wewe ndio wale mlioletwa mjini na Magufuli.

Hatutaki kiongozi mwenye mvuto kwa sababu sio nyapu,tinataka kiongozi atakayetuletea ajira na kufungua nji.
 
Sio kweli, huku Kitaa le watu tunakunywa na mzunguko umeanza kurudi labda wewe ndio wale mlioletwa mjini na Magufuli.

Hatutaki kiongozi mwenye mvuto kwa sababu sio nyapu,tinataka kiongozi atakayetuletea ajira na kufungua nji.
Hongera yenu
 
Who's president of Tanganyika? This is person who's from another country who benefits our own resourses for her benefits with her fellow men and women.Yes your good students, 💯 marks.
Tusifike huko, tukawapa sababu ya kutuondoa kwenye kudai katiba mpya
 
Usiji-stress na hili taifa hata hao viongozi wanaolia lia majukwaani kujifanya wana uchungu sana na hii nchi ni wanafiki tu kinachowaweka pale ni njaa zao muhimu wewe tafuta hela familia yako ifurahi watoto wasome wapate maarifa walale pazuri wazazi wako wafurahie uwepo wako usubiri siku ya kufa ufe lako liishe.

Wanasiasa ni mapunguani ukiwafuatilia sana unavurugikiwa!
Kumbuka na uelewe hatma ya watoto wangu,chakula cha familia yangu pamoja na hatma yangu imeshikiliwa na wanasisa ambao waneambiwa wale wasivimbiwe. Je,unategemea mteremko gani nipitie ili niweze kuhakikisha hicho unachosema nifanye je nitafanikiwa chini yenu
 
Wanajukwaa habari za siku...!

Kiukweli nchi kama Taifa halina raha na wanchi wake hawana raha.

Kwa wanaongalia mambo kiundani utakuja kugundua wananchi hawana furaha na viongozi waliowachagu
Kwa mfano viongozi wa mitaa ( wenye viti wa serikali za mita ),wabunge asilimia kubwa ya wananchi hakuna mwenye kutaka kujua wanafanya nini N.K

Kingine,wananchi wamepoteza upendo walamshikamano kama Taifa. Pia wananchi hawana Imani na serikali Yao pia hawana Imani na Jeshi la polisi.
Asanteni wote.
Kusema leo haisaidii kitu, maana Jiwe aliwaleta hao viongozi bila aibu si wa serikali za mitaa wala wabunge. Tulitulia na tuendelee maana tumewazoea tulibariki.
 
No nchi pekee kiongozi anahimiza wizi kwa aliowaajiri
Hapo unategemea tucheke kinafiki eti
Wale waliokuwa wanafurahia utawala wa kidhalimu sasa mwingine huyu na staili yake
 
Una akili timamu kweli?!Ufisadi ni ufisadi tu.Wewe ulishawahi kujiuliza ni kwa nini mwizi wa kuku anachomwa moto wakati ameiba kitu kidogo sana?

Ufisadi hata kama ni wa kuiba shilingi mia unapaswa kupigwa vita kwa kuwa mazoea huzaa sheria.Hatupaswi kuwa na Taifa ambalo lina-entertain ufisadi.

Halafu Rais anaposema kuwa waibe kwa kiasi kwani hicho kiasi ni kiasi gani?Nani anapima kuwa kiasi hiki ni sahihi kuibiwa na kile siyo sahihi?Nani anapima kuwa kiasi hiki ni kuvimbiwa na kile siyo kuvimbiwa?

Unaelewa kuwa kiasi cha kuvimbiwa kwako wewe kinaweza kuwa ndiyo kifungua kinywa kwangu? Unaelewa kuwa kiasi cha kuvimbiwa kwangu kwako kinaweza kuwa ndiyo safisha koo kwa ajili ya kuanza kula?

Hivi vipimo vya kushiba ufisadi vs kuvimbiwa ufisadi atavitoa na kuvisimamia nani?
Acha kuonesha ulivyojiweka chochoro kiakili.Ukiondoa nchi zenye adhabu ya kifo kwa mafisadi,nchi zingine zote zinaufisadi.
 
Una akili timamu kweli?!Ufisadi ni ufisadi tu.Wewe ulishawahi kujiuliza ni kwa nini mwizi wa kuku anachomwa moto wakati ameiba kitu kidogo sana?

Ufisadi hata kama ni wa kuiba shilingi mia unapaswa kupigwa vita kwa kuwa mazoea huzaa sheria.Hatupaswi kuwa na Taifa ambalo lina-entertain ufisadi.

Halafu Rais anaposema kuwa waibe kwa kiasi kwani hicho kiasi ni kiasi gani?Nani anapima kuwa kiasi hiki ni sahihi kuibiwa na kile siyo sahihi?Nani anapima kuwa kiasi hiki ni kuvimbiwa na kile siyo kuvimbiwa?

Unaelewa kuwa kiasi cha kuvimbiwa kwako wewe kinaweza kuwa ndiyo kifungua kinywa kwangu? Unaelewa kuwa kiasi cha kuvimbiwa kwangu kwako kinaweza kuwa ndiyo safisha koo kwa ajili ya kuanza kula?

Hivi vipimo vya kushiba ufisadi vs kuvimbiwa ufisadi atavitoa na kuvisimamia nani?
Ulikuwa wapi pia kumkosoa Magu aliyeruhusu matrafiki barabarani kuchukua pesa kwa kwa madereva kwa ajili ya kupigia kiwi viatu?.
 
Ninakila kitu lakini sina furaha na viongozi wangu Waserikali ya kijiji na hata bunge na Rais wetu sina furaha juu Yao pia naichukia CCM .
Hata Mungu wewe hauna furaha naye na ndiyo maana unakwenda kinyume na makatazo yake kama:Uzinzi,ulevi,kamari n.k.
 
Back
Top Bottom