Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Sinawahi kupiga kura, ila nimeshiriki kwenye chaguzi za 2010 nikiwa Ilemela na Nyamagana, 2015 nikiwa Mikumi kwa Prof Jay na 2020 nikiwa Temeke.Umetumia kipimo gani kutambua wanawake wengi ni CCM, research au zile sare zao za kijani ambazo hata mashabiki wa Yanga wakivaa wanaonekana kama CCM?
Wanawake wengi na wazee n8 wapoga kura wa CCM.
Vijana wengi hawana misimamo, wanachoweza ni ushabikibtu wa oya oya kama wakiwq huru. Wakitishiwa kidogo huoni mtu, kila mmoja anaenda kwenye mishe zake. Ndio maana hata uchaguzi wa 2020 wa Magu wapiga kura walikuwa wachache sana tena wanawake