JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,850
Walikosoa, wanakosoa watakosoa. Ndo kazi wanayoiweza sana.Wanawake wepi hao unaowaongelea hapa?
Mimi na wengine wengi tunaamini kwenye wanawake wenye uwezo katika kazi na SSH anao uwezo, hata waliompokea kwenye siasa na aliyekua kiongozi wake JPM aliliona hilo