Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama bado ana portion ya fikra yakinifu anatakiwa mambo ya kijinsia kuwaachia mazuzu wa mitandaoni.Mi pia nampenda sana Mama yetu Samia
Ila hizi harakati za jinsia kila siku zinachosha...
Chapa kazi Mama uko vizuri..focus on issues tu...ya jinsia nafkr yanatosha
Akirudi jiwe mwingine je?Kesi ya Mbowe inamfanya aonekane muongo, asiyejiamini, muoga!
Amalize tu miaka yake minne tuanze kujenga Taifa la Kistaarabu!
Na ndio wengi zaidi hapa tz hivyo wanaomchukia ni wengi...mkuu.
kwani wewe hujui kama wanawake hawapendani?
SIO KWENYE HILI MAMA AMECHEMKA LABDA UNIAMBIE KUNA LIPI LA MAAANA AU KWA VILE NI MWANAMKE MWENZAO HATA AKIONGEA UJINGA WAUNGE MKONO KWA VILE NI MWANAMKE MWENZAOmkuu.
kwani wewe hujui kama wanawake hawapendani?
Tena anafikiri anawatetea wanawake. Yaani 2025 atapigiwa kura za hapana na wanawake wenzake. Yaani kama uchaguzi utakuwa huru na haki. Samia hawezi shinda hata awekwe Na jiwe. Pamoja kuwa anatunanga wanaume ila wanawake ndo wanamchukia zaidi. Hajui tu washauri wake wamamdanganyaHabari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Kwani Chato gang mna jema kwa Mama? Hata afanyaje lazima muanzishe nyuzi humu kuwa hapendwi kumbe hamumpendi nyie!Habari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Kataa, kubali, pinga , susa, Samia ndo Rais wako 2025-2030Tena anafikiri anawatetea wanawake. Yaani 2025 atapigiwa kura za hapana na wanawake wenzake. Yaani kama uchaguzi utakuwa huru na haki. Samia hawezi shinda hata awekwe Na jiwe. Pamoja kuwa anatunanga wanaume ila wanawake ndo wanamchukia zaidi. Hajui tu washauri wake wamamdanganya
SSH akimaliza ushamba wake wa urais atakuwa kiongozi mzuri sana.Mwacheni mama achape kazi,, tunakujua hata ukijificha wee ni pro sukuma gang,
Na akimaliza mikumi tunamuongezea mikumi mingine hata kama hataki!
Kuna mtu alidhalilisha wengine sana, akajifanya yeye ni mungu mtu na kundi lake, wakajiaminisha wao ndo wenye nchi na hakuna wakuwagusa, wengine wakatupiliwa kule,
Washamba fulani hivi, 😂😂😂
Adui ya mwanamke ni mwanamkeHabari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Raisi SSH ame disappont watu wengi katika utawala wake ndani ya hi miezi 6, kapooza sana,....japo boro mara 10 kuliko JPM alie kua ameua kila sekita, il a sio too late Mama anaweza kurekebisha utawala wake safu ya mawaziri ni mbovu kupitilìza awaondoe anze kupanga upya, kesi ya Mbowe imemushusha vibaya, ilie mshauri kuhusu hio kesi ndo adui wake mkubwa.Habari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.