Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

Wanadamu sisi wa ajabu sanaaaa. JPM tuliona hafai, tena wako mlioshukuru kuondoka kwake na leo tunasema samia nae hafai🤔

Kwanini kumlinganisha Rais Samia Suluhu Hassan na John Pombe Joseph Magufuli?

Nyerere alilaumiwa kisha Mwinyi akaonekana afadhali, baadae Mwinyi akaumiwa sana Mkapa akaonekana mwema ila alipoondoka ikawa bora. Kikwete akonekana bora zaidi ya mkapa ila baadae lawama zilezile..... binadamu hatuna jema

SSH ni Rais wetu na hilo hatuwezi badilisha, tunatakiwa kumuombea na kumsaidia kutekeleza mipango sio kumsemea mabaya kila siku na kumlaumu

Tumwache JPM apumzike kwa amani na tumwombee Rais SSH na wasaidizi wake waendeleze yale aliyotuachia. Yote yametokea ndani ya mipango ya Mungu
Watanzania inafaa wachapwe viboko 6 kila asubuhi ili ku restore bongo zao!
 
Mie huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Anatafuta kukubalika na wanawake lakini wanawake hao hao tuna waume zetu anao wasimanga kila siku. [emoji2957]
Hahahahah hapa ndipo ugomvi ulipoanzia 😅😅😅 hawezi kutusimanga kina baba watoto
 
Habari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Kila mtu ana haki ya kuchokwa na kutamaniwa, kuchukiwa na kupendwa. Namashauri tu Rais SSH wala asihangaike kumeidhisha kila mtu kwa vile wanadamu hawaridhiki.

Hata Mitume walioleta ujumbe mwema kutoka kwa Mungu walidharauliwa, sembuse ya mwanadamu wa kawaida.
 
Habari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Ulikutana nao wapi wakakwambia kuwa wamemchoka?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kama bado ana portion ya fikra yakinifu anatakiwa mambo ya kijinsia kuwaachia mazuzu wa mitandaoni.

Kama rais kujikita kwenye mambo hayo ni fedheha kwa taasisi ya urais
Mambo ya usawa wa kijinsia sio uzuzu,ni mipango ya maendeleo,na ni lazima kwake kupambana kuleta usawa na haki za kijinsua,na haya maneno yenu,ndio hass sababu kuu ya yete kufanya hivyo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Habari za mwamko wananchi!
Binafsi nampenda Rais Samia Suluhu Hassan kuliko Magufuli, hii haimaanishi kuwa mimi ni team Samia Suluhu bali tukiweka mzani kati ya Magufuli na Samia binafsi nitaangukia kwa Rais Samia Suluhu.
Turudi kwenye mada.
Ni kwamba wananchi hasa wanawake wameshamchoka huyu mama.
Kila ninakopita wanawake nawasikia wakimrushia vijembe kuwa anazurula hovyo.
Ninaona haja sasa kupitia television, redio na magazeti Watanzania waelimishwe umuhimu wa safari hizi za Rais wetu.
Watu wakielimishwa huenda wataelewa na kujua kuwa anachokifanya Samia Suluhu kina manufaa kwao.
Embu fafanua nyie Wanawake mlikaa lini na wapi mkaazimia kuwa Mhe Samia hafai, mmemchoka?
 
Kwa kweli hata mimi nimemchoka hata kama nilikuwa naangalia tv akitokeza kwenye tv nazima tv au nabadilisha chanel.
 
Kuna siku nilisema hapa kuwa kuna kiongozi fulani wa nchi fulani ya Corona wa kwenye oil na mapapai anazurura kama yale Mapaka yasiyofugwa kisha nikala ban ya siku saba![emoji124][emoji124][emoji124]

Ni ngumu sana kuficha ukweli.Mapembe ya Ng'ombe huwa hayajifichi ndugu zangu.

Chief Hangaya ni inept leader ambae anaficha udhaifu wake kwenye mambo ya gender.Imagine Rais mzima wa nchi anasimama anadai kuwa wanaume ni sperm donor ambao hawana umuhimu wowote ule!

Na wanawake wenzake wanavyomkataa ni kwamba wanatuma message kuwa: "Sisi wanawake tunaweza kuongoza vizuri sana ila huyu mwanamke mwenzetu anatuangusha"!
Kwanza ni uongo wa kijinga kabisa,kuuelezea kitofauti samia alisema nini,hakusema hata siku moja kuwa mwanaume ni sperm donor,umemchukua put of context,tuache uongo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Wanadamu sisi wa ajabu sanaaaa. JPM tuliona hafai, tena wako mlioshukuru kuondoka kwake na leo tunasema samia nae hafai[emoji848]

Kwanini kumlinganisha Rais Samia Suluhu Hassan na John Pombe Joseph Magufuli?

Nyerere alilaumiwa kisha Mwinyi akaonekana afadhali, baadae Mwinyi akaumiwa sana Mkapa akaonekana mwema ila alipoondoka ikawa bora. Kikwete akonekana bora zaidi ya mkapa ila baadae lawama zilezile..... binadamu hatuna jema

SSH ni Rais wetu na hilo hatuwezi badilisha, tunatakiwa kumuombea na kumsaidia kutekeleza mipango sio kumsemea mabaya kila siku na kumlaumu

Tumwache JPM apumzike kwa amani na tumwombee Rais SSH na wasaidizi wake waendeleze yale aliyotuachia. Yote yametokea ndani ya mipango ya Mungu
Nakuunga mikono na miguu yote

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Rais alipendwa na wote akiwa madarakani hapa TZ. Wote wakiwa madarakani ni wabaya wakitoka tunaanza kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili kumnanga aliyepo.

Aisee tunaweza kuwakumbuka waliotoka madarakani ila siyo yule aliyesema watu wataishi kama mashetani, hapana, mmh, hata kidogo,,
 
Anatumia nguvu sana kuaminisha uanawake....tunayo macho na tunaona mwanamke sasa sijui kwa nini analazimisha tuwaone wanawake...
Mie nimemchoka
Kwa hili waweza kuwa sahihi, anatakiwa kujikita kwenye kuongoza nchi na siyo mambo ya jinsia jinsia ya uanamke. Yeye ni Rais wa nchi na wala siyo Rais mwanamke wa nchi.
 
Ni kweli kabisa. Nimetembea maeneo ya vijijini mikoa miwili, wanawake hawamwelewi.
Mfano mkiwa mnaangalia habari then akatokea Samia, utasikia simpendi huyu mama!

Ukiwauliza ni kwa nini? majibu yao ni kuhusu swala la chanjo, hawakubaliani nalo.
Ila cha ajabu kabisa wengine tena wengi tu ukiwauliza ni kwanini humpendi? anakwambia basi tu simpendi, yaani hana sababu ya kutokumpenda.
 
Wanadamu sisi wa ajabu sanaaaa. JPM tuliona hafai, tena wako mlioshukuru kuondoka kwake na leo tunasema samia nae hafai🤔

Kwanini kumlinganisha Rais Samia Suluhu Hassan na John Pombe Joseph Magufuli?

Nyerere alilaumiwa kisha Mwinyi akaonekana afadhali, baadae Mwinyi akaumiwa sana Mkapa akaonekana mwema ila alipoondoka ikawa bora. Kikwete akonekana bora zaidi ya mkapa ila baadae lawama zilezile..... binadamu hatuna jema

SSH ni Rais wetu na hilo hatuwezi badilisha, tunatakiwa kumuombea na kumsaidia kutekeleza mipango sio kumsemea mabaya kila siku na kumlaumu

Tumwache JPM apumzike kwa amani na tumwombee Rais SSH na wasaidizi wake waendeleze yale aliyotuachia. Yote yametokea ndani ya mipango ya Mungu
kiongozi ukikaa ukamtafakari kiundani binadamu, utaishiwa kuchanganyikiwa. we nenda tu, fanya yako!
 
Back
Top Bottom