Siku Rais Samia akigundua wanawake ndio wanaompinga zaidi, atawapigia magoti wanaume

mungu wenu lishaozeana huko kuzimu,

muacheni Samia amalize awamu aliyompokea Rais wa awamu tano, Baada ya hapo mwaka 2025 anaanza Sasa awamu yake ya miaka kumi Hadi 2035
 
..mungu wenu lishaozeana huko kuzimu,

muacheni Samia amalize awamu aliyompokea Rais wa awamu tano, Baada ya hapo mwaka 2025 anaanza Sasa awamu yake ya miaka kumi Hadi 2035
 
Inatosha kusema Hana ushawishi wowote
..mungu wenu lishaozeana huko kuzimu,

muacheni Samia amalize awamu aliyompokea Rais wa awamu tano, Baada ya hapo mwaka 2025 anaanza Sasa awamu yake ya miaka kumi Hadi 2035
 
Sukuma Gang

..mungu wenu lishaozeana huko kuzimu,

muacheni Samia amalize awamu aliyompokea Rais wa awamu tano, Baada ya hapo mwaka 2025 anaanza Sasa awamu yake ya miaka kumi Hadi 2035
 
Je unaweza ukaja na data kusupport your urgument kuwa wanawake wengi wamemchoka Rais. What you have said is what we call sweeping statement kujaribu kutoa hoja mfu.
 
Aisee tunaweza kuwakumbuka waliotoka madarakani ila siyo yule aliyesema watu wataishi kama mashetani, hapana, mmh, hata kidogo,,
Usiseme tunaweza, sema naweza sababu mpaka leo watanzania bado wanamkumbuka na kumuenzi angalia chanjo zimeletwa million 1 lakini mpaka saivi ni laki 4 tu zimetumika pamoja na campaign ya kufa mtu, hii inaonesha ushawishi wa hayati bado una nguvu sana katika watu zaidi ya million 60.
 
Anakuja front kupambana na mfumo dume kinyume na mafundisho ya dini yake mwenyewe huku akijichukulia kama muumini safi........nchi za uarabuni mwanamke haruhusiwi hata kuendesha gari sembuse kuwa kiongozi.
 
Mkuu mnyoriii Mbona unaandika vitu out of context?
1. Serikali mpya, ndiyo ipo aliunda kwa kufanya mabadiliko kidogo

2. Kufanya Uchaguzi mpya; Hili hufanyika kikatiba. Tulifanya mwaka Jana, then tutafanya mwaka 2025

3. Rasimu ya Katiba ya Warioba; Alisema kiujumla kuhusu Katiba tusubiri. Hakukataa

4. Wakimbizi wa Kisiasa; Hatuna wakimbizi wa Kisiasa Tanzania. Godbless Lema kakimbia madeni, Lissu yeye anataka afutiwe kesi ndiyo arudi

Mytake:
Watanzania hatuna jema na hatubebeki. Rais SSH amefanya turnaround ya mambo mengi sana lakini TUNABEZA tu
 
Sawa polepole
 
Naona wachangia mbegu wamechachamaa. Kama unataka kujua mkeo anakupenda au anazuga kosa kazi aanze kukulisha na kulipa ada za watoto masimango yake utatamani aridhi ipasuke. Lkn sio wanawake wote lkn ni wengi wao.
 
Samia hana mvuto kabisa na huu ndio ulikua wakati mzuri upinzani kupata kura endapo watajipanga vizuri 2025 sababu ni dhahiri mtaani wengi hawamkubali kabisa na wengi hawamkubali basi tu bila sababu wanamchukia, sasa mpinzani wake apewe nini ukiwa na mpinzani wa aina hii?
 
Anaposema mtoto ni wa mama, sisi tumechangia mbegu tu awaelimishe hao wanawake kuacha kudai matunzo ya mtoto kwenye vyombo vya sheria hadi kwa mimba za kubambikia. Twende na approach ya fisi dume anayeamini watoto ni wa jike hivyo hana time nao hata wakishambuliwa yeye hajali....​
 
mungu wenu lishaozeana huko kuzimu,

muacheni Samia amalize awamu aliyompokea Rais wa awamu tano, Baada ya hapo mwaka 2025 anaanza Sasa awamu yake ya miaka kumi Hadi 2035
Hata yeye muuza nyago ipo siku ataozeana tu.
 
Pale anapotusema wanaume kila akipanda jukwaani mbele ya watoto wetu na wake zetu mpaka unashangaa.
Nani anapigana Mae kwa silaha hii ya jinsia?
Mi napenda wanaume
Nina mtoto wa kiume
Ninafanya kazi na wanaume.
Ninaishi na wanaume.
Sijawahi kuamini wanaume ni maadui.
Ninaruhusu na kushiriki ushindani stahiki bila kuhofia wala kutaka kupendelewa.

Mimi sihitaji mwanaume awe dhaifu ili niwe imara.

Anyways penhine baba yangu atakuwa alinifundisha vibaya kuhusu being a male vs man, a female vs a woman.

Tatizo babangu alishasemaga nimuamini yeye tu.
 
Wanaume ni wachangia mbegu tu, daaah hii kauli ulinishangaza sana.

Asichokujua ni kwamba kauli zake haziwaudhi wanaume wa nje ya system tu, ajue kabisa hizo kauli zinapenya mpaka kwa wale wanaume wengi waliojazana kwenye system yake.

Na kwa hizo kauli atachochea resistance kutoka kwa wanume kamili (achana na hawa mapunga wanaosupport yake ) Ili wamkwamishe kwenye project zake nyingi.

Afu baada ya hapo kila anaemuhujmu mtamwita Sukuma gang, ilhali yeye mwenyewe ndo anayataka. Akitaka a deal vizuri na hii aina yake ya uongozi, anatakiwa ajaze 80% ya wanawake kwenye idara nyeti za serikali vinginevyo hatoboi.
 
Anatumia nguvu sana kuaminisha uanawake....tunayo macho na tunaona mwanamke sasa sijui kwa nini analazimisha tuwaone wanawake...
Mie nimemchoka
Hajui kwamba hata wanawake wenyewe huwa hawawaamini wanawake wenzao kwenye nafasi za uongozi. Siku zote kukiwa na mwanamke na mwanaume kwenye uongozi wanawake huchagua mwanaume.

Aone kwa anna mghwira na queen sendega ataelewa. Yeye alitakiwa apambane na kutatua changamoto za watanzania. Maji, afya, umeme, bei za bidhaa, mazingira ya kufanyia biashara, mikopo ya wajasiriamali, mazingira mazuri ya kusomea watoto. Ye kabaki kuhubiri jinsia kama kete ya kuupata urais. Mbona wanawake wa leo na wenyewe wanahukumu kwa matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…