Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

Mawazo yangu yaheshimiwe mkuu
Siwahitaji kwa sasa
 
Hakuna kisichowezekana mkuu,

Binafsi nahitaji watoto wa kiume pekee kuhusu kuwalea kwenye misingi ya kiume sitashindwa
Hongera mkuu kwa maamuzi yako mungu ajalie kheri kwenye uzao wako
 
Mkuu ni kuomba mungu tu ,hata hao wakike mungu akikuangaza itakuwa mtihaani ,maana anaweza akawa msagaji n.k mpaka uso wako pakuweka ukakosa ,Kubwa Ni kumkabidhi mungu katika malezi ya watoto wetu
Mtoto wa kike anavaa kuliko dume na anatembea kuliko dume.
 

Kumbe watoto nao wanaoa na kuwa na watoto, maana ulichoandika mtoto wangu wa 12 years hawezi andika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…