Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

Ukiondoa mtoto wangu wa kwanza wa kike wanaofuata wote ni wakiume MUNGU nisaidie kwakweli sijui itakuwaje kwenye hii Dunia iliyo haribika japo yenyewe nikikaa nayo yanayoonesha mashababi.
Wapeleke shule za kazi kazi alafu wasome PCM, PCB, PGM huko , hakuna dogo atakuwa shoga , ila ukiwaacha DSM na hv vikundi vya walamba midomo , lazima wawe akina lokole
 
Ashukuriwe Mungu wa wote ninako ka kiume kana miezi saba saivi,ni kapole kama mm kanaonekana kuwa na utulivu wa hali ya juu siku za usoni. Anachonidai kwa sasa ni mazingira yake ya elimu kwa maana ya ada halafu na malezi ya kumuongezea umakini zaidi kwa dunia ya sasa.
 
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Akili ndogo kama pilitoni
 
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Usibague jinsia kwa kuhofia AIBU....Lea kwa MAADILI MEMA ili usijepata AIBU.
 
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya mtu yaheshimiwe..

Sasaaaa,
Wewe usingezaliwa mwanaume tungepata wapi mke na hako kabinti😃
 
Sasaaaa,
Wewe usingezaliwa mwanaume tungepata wapi mke na hako kabinti😃
Tulizaliwa kipindi icho kwa rehema za mungu,dunia ilikuwa kifichoni,Ila saizi dunia iko open Sana,now sihitaji watoto wa kiume
 
Mkuu😁 focus kwenye malezi mazuri tu
Hilo ndo la msingi, nitamlea kiume ila ikitokea akachukua tabia za kishoga popote na nikamgundua, Mungu anisamehe tu nitatafuta namna yoyote ambayo nitamuua bila kugundulika ili nisije kuishia jela.
 
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Hata wa kike wanaliwa tu kama samaki unamla mbele na nyuma. Pia mkuu ukizaa watoto wa kike peke yake nani ataendeleza uzao wako. Maana mwanamke akiolewa anaenda kuendeleza uzao wa mume wake
 
Vavaavaavavavavavaa Yooo
Kuaaaaamaaamaaa maaaaaa maaaaa
Vaaaaaaavavavavavaaaaa vavavavaaa vaaavaa
 
Back
Top Bottom