Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #41
Ntamlea na nitahakikisha anapata malezi boraUkimpata utamuua?š¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntamlea na nitahakikisha anapata malezi boraUkimpata utamuua?š¤
Wapeleke shule za kazi kazi alafu wasome PCM, PCB, PGM huko , hakuna dogo atakuwa shoga , ila ukiwaacha DSM na hv vikundi vya walamba midomo , lazima wawe akina lokoleUkiondoa mtoto wangu wa kwanza wa kike wanaofuata wote ni wakiume MUNGU nisaidie kwakweli sijui itakuwaje kwenye hii Dunia iliyo haribika japo yenyewe nikikaa nayo yanayoonesha mashababi.
HaswaaaaahHakuna hormones za ushoga, malezi mabovu ya jamii zetu yanaukuza.
Akili ndogo kama pilitoniMimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Akili kubwa Kama kichwa chako šAkili ndogo kama pilitoni
Usibague jinsia kwa kuhofia AIBU....Lea kwa MAADILI MEMA ili usijepata AIBU.Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Naelewa mkuu Haina jinsi nimekubariana na Hali yangu,nimechagua side nzur nayoipenda no matter whatWatoto wa kiume ndio ngone ya boma lako, watoto wa kike wataolewa utabaki na nani?
Mkuuš focus kwenye malezi mazuri tuMi mtoto wangu akiwa shoga nitafanya kila namna nihakikishe namuua,..
MkuušUsibague jinsia kwa kuhofia AIBU....Lea kwa MAADILI MEMA ili usijepata AIBU.
Tulizaliwa kipindi icho kwa rehema za mungu,dunia ilikuwa kifichoni,Ila saizi dunia iko open Sana,now sihitaji watoto wa kiumeSasaaaa,
Wewe usingezaliwa mwanaume tungepata wapi mke na hako kabintiš
Hilo ndo la msingi, nitamlea kiume ila ikitokea akachukua tabia za kishoga popote na nikamgundua, Mungu anisamehe tu nitatafuta namna yoyote ambayo nitamuua bila kugundulika ili nisije kuishia jela.Mkuuš focus kwenye malezi mazuri tu
Hata wa kike wanaliwa tu kama samaki unamla mbele na nyuma. Pia mkuu ukizaa watoto wa kike peke yake nani ataendeleza uzao wako. Maana mwanamke akiolewa anaenda kuendeleza uzao wa mume wakeMimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
ššMshukuru Mungu kwa kila jambo