Okay. Unajua unaweza kuwa na watoto wa kiume 10 lakini ikawa kama vile huna watoto, najua hilo pia. Cha msingi walee watoto wako vizuri, wawe na upendo mkubwa kwako, watoto wenye upendo mkubwa kwa wazazi lazima watawatunza wazazi wao hadi mwisho. Lea watoto wako kwa upendo mkubwa, inalipa sana.Nimekulewa mkuu Ila ata sis watoto wa kiume tunazingua tu,nishajiandaa kwa lolote ivo Sina chakujutia
Point π― ukweri ndo huo malezi Bora+ upendoOkay. Unajua unaweza kuwa na watoto wa kiume 10 lakini ikawa kama vile huna watoto, najua hilo pia. Cha msingi walee watoto wako vizuri, wawe na upendo mkubwa kwako, watoto wenye upendo mkubwa kwa wazazi lazima watawatunza wazazi wao hadi mwisho. Lea watoto wako kwa upendo mkubwa, inalipa sana.
SiwahitajiUnaweza ukawakataa watoto wa kiume halafu watu wakanyooka hata na wewe
KabisaMawazo finyo
Hayo mambo ya kuliwa siyo lazima yatokee.Familia ikikosa mtoto wa kiume ni vipi itaendeleza kizazi?Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.
Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.
Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.
Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over
Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
Nawahitaji Sana watoto wa kike now maamuzi yangu ndo hayoHayo mambo ya kuliwa siyo lazima yatokee.Familia ikikosa mtoto wa kiume ni vipi itaendeleza kizazi?
Nitawalea sababu ni mipango ya mungu kanijalia mtoto wa kiume, siwezi nikaikana damu yanguKwa hiyo ukiwazaa utawachinja kama Herode?
Unaweza usifanye vyote iv na mtoto akawa bwabwaLeeni watoto kiume,acheni kuwadekeza na kuwapig piga picha za hovyo,acheni kuwalisha chips,mayai na soseji.Msiwapeleke shule za boarding primary subiri wakupe.Waleeni kibabe.Msiendekeze kukaa na ndugu hasa wa kiume.
Utakuwa shoga wewe unaogopa watoto wasije kuwa kama weweSikatai Ila kwasasa sihitaji watoto wa kiume
Mbona makasirikoUtakuwa shoga wewe unaogopa watoto wasije kuwa kama wewe
Akili vitumbua umekuja kufuata Nini kwenye mada za kimaandazi,Akili mandazi! Wazazi wako wangekuwa na akili kama zako we ungekuwepo?
Mzee umewaza mbali sana mkubwaUnaweza ukawakataa watoto wa kiume halafu watu wakanyooka hata na wewe
Ataanzia wapi bwa shehe.Wafundisheni kazi ,wafanye kazi za mikono.Siyo wanashinda kwenye mabeseni ,majacuz na sweeming pool.Unaweza usifanye vyote iv na mtoto akawa bwabwa
Kama unataka kupata mtoto wa Jinsia yoyote unapata, ili mradi ujue kucheza na kalenda ya mke wakoKwani huyo mtoto wa kike uliyenaye ulijua kuwa utampata? Au umeshtukia tu huyu hapa mkeo kajifungua?