Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

Siwahitaji watoto wa kiume kwenye familia yangu

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..Kama ntafika uzeeni mabinti zangu watakua wafariji kwangu.

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya mtu yaheshimiwe..
 
Upumbavu utawaisha lini ninyi watanzania

Hayo Mambo yanakua overrated sana na Wala si kitu kigeni yapo kwa karne na karne

Si rahisi mtu kuwa shoga ikiwa hajazaliwa na ulemavu wa hormones Ni ngumu mno

Wala hicho sio kigezo kabisa cha kutokupenda watoto wa kiume
 
Ukiondoa mtoto wangu wa kwanza wa kike wanaofuata wote ni wakiume MUNGU nisaidie kwakweli sijui itakuwaje kwenye hii Dunia iliyo haribika japo yenyewe nikikaa nayo yanayoonesha mashababi.
Malezi mema,wafanye waijue dini mungu atawasaidi kila la kheri kwenye uzao wako🙏
Watoto wa kuoa wapo kwangu mjiandae tu mahari hizo😁
 
Mimi ni baba wa mtoto mmoja now,Nina mtoto wa kike Jina N nampenda Sana binti yangu nahitaji Sana mke wangu azidi kuniletea watoto wa kike ata kumi nitawalea..

Ila sijui Nina tatizo gani Mara nyingi nimekuwa nikigombana na wife kuhusu kuwa na mtoto wa kiume kwenye familia Ila kwa Sasa kwa mapenzi yake mungu nahitaji watoto wa kike,mabinti zangu.

Watoto wa kiume wamekuwa kisanga Sana kwenye dunia ya leo,Kama mzazi hasa wa kiume tunatumia Sana ukisikia mtoto wako wa kiume analiwa,aisee watoto wa kiume hapana mungu nisamehe Kama nakufuru.

Nyie wezangu mnapenda watoto wa kiume kheri kwenu,kila mtu ana maamuzi yake.Over

Mawazo ya

Ukiondoa mtoto wangu wa kwanza wa kike wanaofuata wote ni wakiume MUNGU nisaidie kwakweli sijui itakuwaje kwenye hii Dunia iliyo haribika japo yenyewe nikikaa nayo yanayoonesha mashababi.
Mbona mnakuza sana mambo? Hamuoni kwa kuandikaandika hovyo ndio mnayapromote?
 
Upumbavu utawaisha lini ninyi watanzania

Hayo Mambo yanakua overrated sana na Wala si kitu kigeni yapo kwa karne na karne

Si rahisi mtu kuwa shoga ikiwa hajazaliwa na ulemavu wa hormones Ni ngumu mno

Wala hicho sio kigezo kabisa cha kutokupenda watoto wa kiume
Na hata wenye hormone imbalance km hataki kuwa Gay, hawezi kuwa.
 
Mkuu ni kuomba mungu tu ,hata hao wakike mungu akikuangaza itakuwa mtihaani ,maana anaweza akawa msagaji n.k mpaka uso wako pakuweka ukakosa ,Kubwa Ni kumkabidhi mungu katika malezi ya watoto wetu
Kwahiyo hataki mtoto wa kiume kisa anahofia atakuwa shoga?

Kwahiyo hao mabinti wakikua wakawa wanaliwa 'ndogo' lenyewe siyo tatizo?

Ujinga bwana.
 
Back
Top Bottom