Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

KILA nikiona yanayoendelea!napata picha huko mbeleni hakutakuwa na mahusiano tena bali Biashara rasmi ya ngono iliyohalalishwa KWA vitambulisho rasmi vya machinga!!

YAANI unakutana na mdada kiitaa amevaa kitambulisho anauza !!!na mna bargain kama kawa tena KAWAIDA Sana sio Lazima kwenye Danguro au site kama Sasa!!
 
Mle jicho umalizie hasira zako huko
 
Ukute mleta maada ni Msimbe na wala hajawahi kukaa ndoani, anagawa mbusule tu
 
Wewe akili yako imeshaharibika ushahidi huu hapa



Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Una wazimu wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…