Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Mle jicho umalizie hasira zako hukoHata sielewi ni upigaji ama nini..
Achana na ile kupata mke omba omba.. Ambaye hela nyingi anapeleka kwao au anafanyia mambo yake binafsi ikowepo kumuhonga katibu.
Hawa wadada wengine wanaomba hela kwa sababu
1. Wana amini ni wajibu wako
2. Wanakuona danga.
Nna visa viwili.
1. Nikiwa naperuzi mitandao ya kijamii nkaona comment ya mdada mwenye jina la ukoo nkatambua tupo kabila moja.. Basi nkazama inbobo nkawa nmachartisha kwa kabila letu.. Daaha kumbe hayupo mbali sana na nilipo mimi.. Basi akaanza kukomaa kuulizia kazi nnayofanya, kama nimeoa ama laah. Mwishoni akaanza kukomaa tuonane.. Sasa kutokana na kutingwa na majukumu nkawa nakwepa.. Jana anasema ana shida na elfu 50.. Duuuuh nkaona huyu ananiona mm danga.
2. Kisa cha pili
Nilikuwa semina kikazi kanda ya ziwa. Pale sina ndugu hivo nkafikia hotelini.. Ila kuna mshiriki mmoja mdada mke wa mtu.. Huyu nilonana kule kule.. Ila tunatoka mkoa mmoja,. yeye ana ndugu wa mume wake pale so hakuwa ana ingia cost ya chakula na accommodation.. Na mara nyingi akawa anajisifu kuwa mume wake ana muhudumia hata alipo kule..
Na ile per diem yake haigusi kabisa..
Kwa hiyo net gain.. Yeye aliondoka na hela ndefu saana kuzidi mimi.
Cha ajabu imefika muda wa kusepa si nkajichanganya nka muaga kuwa naenda kata ticket akasema nikate ya wawili. Nkapigwa mzinga wa kwanza hapo.
Njiani mm ndiyo nkawa main supplier, halafu Kosa kubwa nililofanya njian ni kuonesha nia ya kula mzigo.. Safari ile ilikuwa ndefu na usiku ukatukuta ndani ya basi.. Pale nkapata denda.. Nkamshikisha dushele,.. Nka mshika matiti. Nkamlaza kwenye mapaja huku nkimbembeleza na ku massage mgongoni. In short story iliyokuwa inaendelea ni yeye kutafuta mazingira.. Mwamba wake akisafiri aje anituku tunda.
Dadaaaaaah baada ya hapo sasa. Nkakumbuka mke wa mtu sumu afu huyu dada story zake ni kipengere kinoma. Nkaanza kumkwepa.
Akaanza visa.
. Mara nywele zimefumuka, anataka simu mpya, mdogo wake ada imekata, zote hizo nilikuwa napangua.. Juzi kanitumia risala ndefu akielezea kusikitika kwake na kunilamu vikali.. Kuwa mimi ni Bahiri wa kutupwa.
Natamani nimtukane.. Kuwa hivo vyote amuombe mume wake.. Shenzi kabisa
Wewe akili yako imeshaharibika ushahidi huu hapaHabari zenu wana nzengo?
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.
- Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
- Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
- Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
- Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
- Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
- Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.
Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.
Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Una wazimu weweWewe akili yako imeshaharibika ushahidi huu hapa
Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile
Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike. Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo. Nikiwa pale nilijifunza usagaji...www.jamiiforums.com
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app