Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

Habari zenu wana nzengo?
  • Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
  • Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
  • Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
  • Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
  • Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
  • Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.

Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.

Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.

Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Dada, fanya kazi! Mlianzisha wenyewe movements za women rights na mliona mnaonewa hivyo mkaambiwa mwanamke kufanya kazi anaweza na ni ruksa pia sio mali ya mtu. Sasa wewe unataka kuwarudisha wanawake wenzako miaka ya 1950s.

Umeandika mapungufu yote wee[emoji23][emoji23][emoji23] ili tu upate pesa ya bure kwa unaowasimanga. Ndoa mliziita utumwa, sasa nyie mnataka tuwasaidiaje[emoji23][emoji23], kwamba umekuja duniani as a special gender.

Pia asilimia kubwa ya familia hazihudumiwi na wanawake bali ni wanaume, na hizo unazorefer zinahudumiwa na wanawake basically ni za single mothers ambao asilimia kubwa wanaume wengi huudumia indirectly kwasababu wengi huishia kudanga ndio alishe mtoto au watoto. Wachache sana hujitafutia nakuiendeleza single family yake ila wengi huanza kuwa na wanaume wengi hivyo anaanzisha mfuko wake wa jamii wa kuchangiwa. Times will change but gender roles can never be reversed.
 
Ngoja nikusaidie kidogo, mume siyo mtumwa wa familia, Bali ni mkuu na kiongozi wa Familia.

Pamoja na majukumu ya mume kuhudumia familia anayo haki ya kutumia pocket money yake kwenye mambo binafsi hiyo siyo family business.

Kusaidia Wazazi wako hilo siyo jukumu la mume na wala siyo haki ya Wazazi ni favour tu kama uwezo unaruhusu.

Wanaume nao ni banadamu kama wanawake wajinga watakuwa wengi kama wewe basi divorce zitaongezeka na tutawashauri Watoto wetu wa kiume wasioe.

Imagine mwanamke asiyekuwa na akili anakopa mkopo Vicoba halafu marejesho unamsumbuwa mume wako ndio awe anatowa pesa ya marejesho wakati wanawake wanaojitambuwa mikopo wanatumia kupanuwa mitaji yao na wanarudisha marejesho bila tatizo lolote.

Sielewi ni kwa nini idadi ya wanawake wajinga inazidi kuongezeka, mwanaume siyo punda ni binadamu na ana hisia zote.
Umetisha mkuu big up sana
 
Hii ndio akili ya mtoa mada msipoteze muda wenu enyi wanaume



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kumbe ndio hii akili yake diuuuh hii ni hatari sana 😳😬

Nikiwa pale nilijifunza usagaji,

Nmeishia hapo mimi sijataka kuendelea 😳
 
Mwanamke anayezungumzia pesa, pesa huyo hata ukimuoa ukiwa na pesa wakati zikitoweka atatafuta chaka lingine lenye pesa.
Kufupisha mambo yasiwe mengi mwanamke huyo hafai maishani hao ndo wanaofanya wanaume kuwa matapeli na majizi ili mke aridhike.
 
Habari zenu wana nzengo?
  • Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
  • Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
  • Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
  • Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
  • Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
  • Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.

Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.

Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.

Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Huo umasikini ameshindwa kukuondelea baba yako na mama yako walio kuleta duniani nitaweza mimi tulie kutana ukubwani tu...?

Kama mama yako na baba yako walishindwa kukupa elimu au mtaji wa biashara ndugu yangu pambana acha kulaumu watu ...mapenzi ni kwa ajiri ya kuufurahisha mwili na sio kukuondolea umasikini wako dada
 
Nafikiri hapa umewazungumzia kaka zako zaidi ambao wamekuachia mzigo wa kulea wazazi na bado unalea watoto wao na brother wengine bado wako nyumbani kwa wazazi wenu. Pole sana. Shukuru hata kuna JF umepata pa kupumulia. Ila jua ni haohao ndugu sio wanaume wa leo. Hakuna mwenye akili timamu anayejishughulisha akabaki nyumbani mpaka akiwa kwenye 30s ukiachana na hiyo 50.

Ukiona hivyo huyo ni kichaa
 
Habari zenu wana nzengo?
  • Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
  • Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
  • Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
  • Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
  • Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
  • Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.

Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.

Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.

Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Naomba idhini ya kuanza kukutunza wewe, to prove u wrong
 
Ngoja nikusaidie kidogo, mume siyo mtumwa wa familia, Bali ni mkuu na kiongozi wa Familia.

Pamoja na majukumu ya mume kuhudumia familia anayo haki ya kutumia pocket money yake kwenye mambo binafsi hiyo siyo family business.

Kusaidia Wazazi wako hilo siyo jukumu la mume na wala siyo haki ya Wazazi ni favour tu kama uwezo unaruhusu.

Wanaume nao ni banadamu kama wanawake wajinga watakuwa wengi kama wewe basi divorce zitaongezeka na tutawashauri Watoto wetu wa kiume wasioe.

Imagine mwanamke asiyekuwa na akili anakopa mkopo Vicoba halafu marejesho unamsumbuwa mume wako ndio awe anatowa pesa ya marejesho wakati wanawake wanaojitambuwa mikopo wanatumia kupanuwa mitaji yao na wanarudisha marejesho bila tatizo lolote.

Sielewi ni kwa nini idadi ya wanawake wajinga inazidi kuongezeka, mwanaume siyo punda ni binadamu na ana hisia zote.
Mkuu, mbona siku hizi mods mnajipiga ban. Tatizo nini hasa? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221008-094102.jpg
 
Huo umasikini ameshindwa kukuondelea baba yako na mama yako walio kuleta duniani nitaweza mimi tulie kutana ukubwani tu...?

Kama mama yako na baba yako walishindwa kukupa elimu au mtaji wa biashara ndugu yangu pambana acha kulaumu watu ...mapenzi ni kwa ajiri ya kuufurahisha mwili na sio kukuondolea umasikini wako dada
Hah baba anawajibika kwa mkewe, si kwangu
 
Back
Top Bottom