Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

Well said.....
Hatupendi pesa ila tunauchukia umasikini
 
  • Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama.
  • Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti.
  • Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako makini na kuhudumia michepuko.
  • Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
  • Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na siyo kuwekeza, ndiyo maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
  • Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake.
Suala la king Charles wa 3 kukaa Kwao mpaka Leo limekuuma sana eti..??.[emoji19][emoji19]
 
HAPA NIMEKUELEWA SANA,KUNA WANAWAKE WAJINGA WANATAKA HELA YOTE YA MUME WAKE AIJUE NA AITUMIE WAKATI YEYE HATA HANA MCHANGO KATIKA PESA HIYO
Pamoja na majukumu ya mume kuhudumia familia anayo haki ya kutumia pocket money yake kwenye mambo binafsi hiyo siyo family business.
 
Habari zenu wana nzengo?
  • Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
  • Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
  • Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
  • Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
  • Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
  • Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.

Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.

Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.

Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Pesa zote zinatoka kwa wanaume, therefore pesa za huduma kwa wazee, watoto nk zote anatoa mwanaume ndio anampa bar maid, house wife, mchepuko na malaya wa barabarani.
Wanaume ndio hawautaki umaskini ndio maana wanauondoa kote kote wanagawa pesa. Kumbuka kauli mbiu yenu MNAWEZA MKIWEZESHWA.
 
Mtu anayechukia umaskini anatakiwa afanye kazi kwa bidii akuze uchumi wake na asaidie wasiojiweza 😂😂😂!

Sasa we unachukia umaskini kwa kuvizia hela za mwanaume alizohenya kuzimeki we upewe bure eti kisa una kitobo asali. Hatuendi hivyo!!! Chuki na umaskini ziendane na juhudi za kufanya kazi upate mahela yako mengi utumie utakavyo.

Halafu mwanamke akitafta hela yake anakuwaga na mahesabu makali kweli huwezi kuta anaifanyia ujinga ila ya mwanaume ndio ya kuifanyia mambo ya kiduanze. Anaweza kwenda KFC kula kuku nusu na chips kwa elfu 23 wakati mtaani kuku zima kwa buku 7 yupo. Atanywea mipombe ya sifa kama Hennesy wakati kwa hela yake anauwezo wa kunywa wine ya buku 5 tu, atafanyia party za kujikosha za bethdei. Kununua vitu ambavyo hata havihitaji minguo kibao, miwani, ilimradi tu.
Kweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
 
Wan

Wanaume wa leo wanatimiza 50 wakiwa kwa wazazi sababu mnawachuna hadi akili hivyo wanashindwa kujiendeleza kiuchumi

Wanaume wa leo hawawatunzi wazee wao sababu jinsia “ke” wapenzi,wadangaji,wake wao ndio hujiona hustahili matunzo,first priority inawafaa wao na si wazazi

Wanaume wa leo wanatunza michepuko sababu ya ujeuri,kutomthamini mume ndani ya nyumba ukiolewa unaona kila kitu umemaliza

Hawasomeshi watoto si kweli,pitia post roma mkatoliki na baadhi ya maoni ya watu ,hata achangie vipi mwanaume mtaweka sumu aonekane hana mchango

Kwenye ulevi na uzinzi ninyi ndii chanzo “walaghai tukiishiwa mnatukimbia “ uko na malengo wekeza akili yako pia kwa mwanaume
[emoji28][emoji28] povu ruksa mleta mada

Ahsante mkuu bila kusahau swala la shule wanakomaa mtoto apelekwe shule za bei hawajali ubora wa elimu alafu ukikataa analazimisha ikibidi anampeleka mwemyewe ela zikimkosa ananza kucheat(kuomba omba na kukopa) uk akimlisha mtoto sumu "baba yako hakupendi si unaona navyotaabika kukutaftia ada" tunaonekana sisi wehu yaan ivi viumbe.
 
Ahsante mkuu bila kusahau swala la shule wanakomaa mtoto apelekwe shule za bei hawajali ubora wa elimu alafu ukikataa analazimisha ikibidi anampeleka mwemyewe ela zikimkosa ananza kucheat(kuomba omba na kukopa) uk akimlisha mtoto sumu "baba yako hakupendi si unaona navyotaabika kukutaftia ada" tunaonekana sisi wehu yaan ivi viumbe.
Hivi viumbe vingine sijui vimeumbwa vipi
 
Kweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
Go down the street, work hard, feed your dependents
 
Unaweza ukapinga hii kitu lakini ukweli ni kwamba wanawake wengi wanapenda pesa wanatofautiana tu Kwenye level ya upendaji wa pesa kuna wengine ndio unawakuta kwenye udangaji, sasa hivi unachukua Leo namba ya simu ya binti kesho anaanza kuorodhesha shida yake Mara ooh kodi imeeisha, mama mgonjwa n.k hapo ujamtongoza kumbuka, Wengi wenu njaa zinawaendesha ndio maana mnagongwa ovyo ovyo kwa sababu za njaa za kishamba, kuna wengine unaomba nao meet anasema sina nauli unamtumia anaila hela ya nauli na haji hii ni njaa ya aina gani kweli?

Pole kwa kiliwa nauli mkuu [emoji3]ila ndio changamoto za kutafuta mbususu usikate tamaa siku nyingine tuma na yakutolea Mtoto atakuja
 
Yaan wanawake wa sasa wanajifanya wao wana akili sana kuliko sisi,wamekuwa omba omba hatari na hawana aibu hata kidogo

Kwa kwel kwa sasa ni mwendo wa kukwepa tu vizingaView attachment 2377772View attachment 2377773
Umeona kama huyu mjinga nimemwambia nimtafutie kazi ila kapotezea,anataka hela za kupewa tu

Mwenzio anataka kumi tu wewe unang’ang’ania kumtafutia kazi [emoji28]toa kumi 2 acha uboya
 
Back
Top Bottom