Darlin
JF-Expert Member
- Aug 9, 2020
- 4,796
- 10,646
Vita ni fita muraaaaa😆😆Vita gani jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ni fita muraaaaa😆😆Vita gani jamani
Suala la king Charles wa 3 kukaa Kwao mpaka Leo limekuuma sana eti..??.[emoji19][emoji19]
- Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama.
- Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti.
- Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako makini na kuhudumia michepuko.
- Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
- Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na siyo kuwekeza, ndiyo maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
- Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake.
Kwa hyo bar nikwaajili ya wasimbe?Na bado, tafuta hela tulia na mkeo, mzee watoto.
Kamanni bia nunua bia zako tano na mbili za mkeo mkanywe nyumbani
Pesa zote zinatoka kwa wanaume, therefore pesa za huduma kwa wazee, watoto nk zote anatoa mwanaume ndio anampa bar maid, house wife, mchepuko na malaya wa barabarani.Habari zenu wana nzengo?
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.
- Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
- Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
- Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
- Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
- Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
- Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.
Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.
Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Kweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni adaMtu anayechukia umaskini anatakiwa afanye kazi kwa bidii akuze uchumi wake na asaidie wasiojiweza 😂😂😂!
Sasa we unachukia umaskini kwa kuvizia hela za mwanaume alizohenya kuzimeki we upewe bure eti kisa una kitobo asali. Hatuendi hivyo!!! Chuki na umaskini ziendane na juhudi za kufanya kazi upate mahela yako mengi utumie utakavyo.
Halafu mwanamke akitafta hela yake anakuwaga na mahesabu makali kweli huwezi kuta anaifanyia ujinga ila ya mwanaume ndio ya kuifanyia mambo ya kiduanze. Anaweza kwenda KFC kula kuku nusu na chips kwa elfu 23 wakati mtaani kuku zima kwa buku 7 yupo. Atanywea mipombe ya sifa kama Hennesy wakati kwa hela yake anauwezo wa kunywa wine ya buku 5 tu, atafanyia party za kujikosha za bethdei. Kununua vitu ambavyo hata havihitaji minguo kibao, miwani, ilimradi tu.
Wan
Wanaume wa leo wanatimiza 50 wakiwa kwa wazazi sababu mnawachuna hadi akili hivyo wanashindwa kujiendeleza kiuchumi
Wanaume wa leo hawawatunzi wazee wao sababu jinsia “ke” wapenzi,wadangaji,wake wao ndio hujiona hustahili matunzo,first priority inawafaa wao na si wazazi
Wanaume wa leo wanatunza michepuko sababu ya ujeuri,kutomthamini mume ndani ya nyumba ukiolewa unaona kila kitu umemaliza
Hawasomeshi watoto si kweli,pitia post roma mkatoliki na baadhi ya maoni ya watu ,hata achangie vipi mwanaume mtaweka sumu aonekane hana mchango
Kwenye ulevi na uzinzi ninyi ndii chanzo “walaghai tukiishiwa mnatukimbia “ uko na malengo wekeza akili yako pia kwa mwanaume
[emoji28][emoji28] povu ruksa mleta mada
Hivi viumbe vingine sijui vimeumbwa vipiAhsante mkuu bila kusahau swala la shule wanakomaa mtoto apelekwe shule za bei hawajali ubora wa elimu alafu ukikataa analazimisha ikibidi anampeleka mwemyewe ela zikimkosa ananza kucheat(kuomba omba na kukopa) uk akimlisha mtoto sumu "baba yako hakupendi si unaona navyotaabika kukutaftia ada" tunaonekana sisi wehu yaan ivi viumbe.
Kabisa Single mothers ni redflags,kimbia vibaya sanaSingle mother wengi wao ni matapeli....vijana wenzangu kuweni makini na single mother...kama umelipenda piga mbususu sepa.....
Si nilikwambia unitumie hela ya uber wew ukakataa😒Alafu jana mbona hukuja nyumbani
Unawasema wanaume wakati ndio chanzo chako cha kipato.Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.
Mtaishia kurogwa na kubebeshwa mikosiSingle mother wengi wao ni matapeli....vijana wenzangu kuweni makini na single mother...kama umelipenda piga mbususu sepa.....
Go down the street, work hard, feed your dependentsKweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
Familia nyingi sana zinahudumiwa na wanawakeMwanamke kutoa pesa yake ahudumie familia anaona si haki
Kwani nilichoongea si ni kweli lakiniMtaishia kurogwa na kubebeshwa mikosi
Unaweza ukapinga hii kitu lakini ukweli ni kwamba wanawake wengi wanapenda pesa wanatofautiana tu Kwenye level ya upendaji wa pesa kuna wengine ndio unawakuta kwenye udangaji, sasa hivi unachukua Leo namba ya simu ya binti kesho anaanza kuorodhesha shida yake Mara ooh kodi imeeisha, mama mgonjwa n.k hapo ujamtongoza kumbuka, Wengi wenu njaa zinawaendesha ndio maana mnagongwa ovyo ovyo kwa sababu za njaa za kishamba, kuna wengine unaomba nao meet anasema sina nauli unamtumia anaila hela ya nauli na haji hii ni njaa ya aina gani kweli?
Yaan wanawake wa sasa wanajifanya wao wana akili sana kuliko sisi,wamekuwa omba omba hatari na hawana aibu hata kidogo
Kwa kwel kwa sasa ni mwendo wa kukwepa tu vizingaView attachment 2377772View attachment 2377773
Umeona kama huyu mjinga nimemwambia nimtafutie kazi ila kapotezea,anataka hela za kupewa tu