Hata sielewi ni upigaji ama nini..
Achana na ile kupata mke omba omba.. Ambaye hela nyingi anapeleka kwao au anafanyia mambo yake binafsi ikowepo kumuhonga katibu.
Hawa wadada wengine wanaomba hela kwa sababu
1. Wana amini ni wajibu wako
2. Wanakuona danga.
Nna visa viwili.
1. Nikiwa naperuzi mitandao ya kijamii nkaona comment ya mdada mwenye jina la ukoo nkatambua tupo kabila moja.. Basi nkazama inbobo nkawa nmachartisha kwa kabila letu.. Daaha kumbe hayupo mbali sana na nilipo mimi.. Basi akaanza kukomaa kuulizia kazi nnayofanya, kama nimeoa ama laah. Mwishoni akaanza kukomaa tuonane.. Sasa kutokana na kutingwa na majukumu nkawa nakwepa.. Jana anasema ana shida na elfu 50.. Duuuuh nkaona huyu ananiona mm danga.
2. Kisa cha pili
Nilikuwa semina kikazi kanda ya ziwa. Pale sina ndugu hivo nkafikia hotelini.. Ila kuna mshiriki mmoja mdada mke wa mtu.. Huyu nilonana kule kule.. Ila tunatoka mkoa mmoja,.
Yeye ana ndugu wa mume wake pale so hakuwa ana ingia cost ya chakula na accommodation.. Na mara nyingi akawa anajisifu kuwa mume wake ana muhudumia hata alipo kule..
Na ile per diem yake haigusi kabisa..
Cha ajabu imefika muda wa kusepa si nkajichanganya nka muaga kuwa naenda kata ticket akasema nikate ya wawili. Nkapigwa mzinga wa kwanza hapo.
Njiani mm ndiyo nkawa main supplier, halafu Kosa kubwa nililofanya njian ni kuonesha nia ya kula mzigo.. Safari ile ilikuwa ndefu na usiku ukatukuta ndani ya basi.. Pale nkapata denda.. Nkamshikisha dushele, akawa analibinya binya.. Nka mshika chakula cha mtoto.. Nkamlaza kwenye mapaja huku nkimbembeleza na ku massage mgongoni.
Dadaaaaaah baada ya hapo sasa. Nkakumbuka mke wa mtu sumu afu huyu dada story zake ni kipengere kinoma.
Akaanza visa.
. Mara nywele zimefumuka, anataka simu mpya, mdogo wake ada imekata, zote hizo nilikuwa napangua.. Juzi kanitumia risala ndefu akielezea kusikitika kwake na kunilamu vikali.. Kuwa mimi ni Bahiri wa kutupwa.
Natamani nimtukane.. Kuwa hivo vyote amuombe mume wake.. Shenzi kabisa