Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #81
AMEONJA YA HUKU BONGO?Wamexico huwaambii kitu kuhusu Coca Cola.
Wanaipenda sana
Kuna jamaa Mmexico tulikuwa naye kwenye project fulani mkiwa mnapiga lunch atafanya juu chini apate Coca Cola pembeni akikosa hakubali kunywa soda nyingine yoyote hata kama ni jamii ya Cola kama Pepsi
Ahahaha ninywe bia?Achana na soda zitakuletea kisukari.
Ahahhaa mh kwamba ni tofaut?Uko sahihi kabisa coca cola ya Dar ni mbaya mno, japo leo nimekunywa coca hapa moshi kidogo ina ladha
Ahahahah na wameupata nikiosa Pepsi bas nipate mirindaPepsi washacheza na ulimi wako,walikaa sana maabala hawa jamaa.
Dah soda nzur shingap?Bei ya soda unazokunywa ndiyo zinakupa ladha unayotaka kinywaji kizuri hakiwekwi kwenye chupa za ovyo
Tulipokuja bongo alikuwa anakunywa za take awayAMEONJA YA HUKU BONGO?
Ukiwa na 2000 au zaidi utaanza kunywa soda achana na vinywaji vya 600 starehe (anasa) inataka fedha.Dah soda nzur shingap?
Ameondoka?Tulipokuja bongo alikuwa anakunywa za take away
Ahahaa 2000 mbona sizioniUkiwa na 2000 au zaidi utaanza kunywa soda achana na vinywaji vya 600 starehe (anasa) inataka fedha.
Alishasepa zake Tijuana city, MexicoAmeondoka?
Super market kaka namaanisha (SUPER MARKET) anza na mlimani city utapata Hadi zile za kupima achana na chupa zitakung'oa meno..Ahahaa 2000 mbona sizioni
Ahahahah hayo maisha ya watu wa upanga sio mimiSuper market kaka namaanisha (SUPER MARKET) anza na mlimani city utapata Hadi zile za kupima achana na chupa zitakung'oa meno..
Kabisa kina test nzuriHongera kwa mtengenezaji wa Mirinda Nyeusi,hiki kinywaji kama ulishawahi kukitumia kikiwa cha bardiii utaungana na hoja yangu[emoji39][emoji7][emoji7]
Fafanua 🤣🤣Walipa Kodi wanajua radha nzuri na mbaya ya soda kuliko wanywaji wa Soda...
Tulipeleke ukweni kwako?Hivi hili nalo la kuleta huku kweli ? Nchi nzito Sana hii sababu ya baadhi ya watu
Hata ukipeleka primary school uliyosoma sawa tuTulipeleke ukweni kwako?