Somo la mali kwa wanandoa kwa kilichotokea kwa Achraf Hakimi na mkewe


Ndio maana nikakuambia sheria itakusumbua Sana. Kama ni Wakili basi jnakazi ngumu Sana kushinda Mahakamani.
Sasa ukishasema Mahakama inaweza kutoa amri Fulani au isitoe mpaka hapo hauelewi mantiki ya hicho kifungu?

Mtalaka hahudumiwi. Hakuna sheria ya hivyo,
 
Kwa Sheria za Tanzania, ni jukumu la mwanaume kumtunza mke wake hicho kifungu kipo kwenye Sheria ya Ndoa,
Na pia kipo kifungu Cha sheria kinachosema mume anaweza kumtunza mke na watoto walioachana.
Mume akitoa talaka anatoa matunzo kwa watoto wake tu.
Halazimishwi kumhudumia mtalaka wake, ila kama mtalaka anaishi na watoto atakuwa anafaidika kupitia huduma wanayo pewa watoto kama pesa ya matunzo.
 
bali kinachaoangaliwa ni mchango wa mwanandoa kwenye kupatikana Mali husika.
Hii kesi hii ya Mwanahawa Hamis v Ally Seif ndio CJ Nyalali aliamua hivyo mchango wa mwanandoa hata kupika, kufagia, kudeki, kuosha vyombo, kukupa chakula pendwa, nk
 
- Mimi kitaaluma ni Muhasibu nina CPA T yangu, ila najua English tu basi na hapo tatizo kwako ni lugha ya kiingereza.
-inaweza ikatoa au isitoe hiyo ni discretion ya Mahakama, mantiki ya hicho kifungu mahakama inaweza ikatoa au isitoe hiyo amri ya maintenance, Kwa kuangalia mazingira Fulani Fulani kama means ya Mwanamke ya kupata pesa ipoje ana kipato kiasi gani nk.
-eti Unasema Nina Kazi ngumu kushindwa mahakamani, Mimi ni accountant, wewe huna mamlaka ya Kuandika hayo maneno mtu mwenyewe may , shall na discretion hujui maana yake
 
Mume akitoa talaka anatoa matunzo kwa watoto wake tu.
Halazimishwi kumhudumia mtalaka wake, ila kama mtalaka anaishi na watoto atakuwa anafaidika kupitia huduma wanayo pewa watoto kama pesa ya matunzo.
Unajua maana ya haya maneno, 'when granting or subsequent to the grant of decree of divorce '?
 
Yawezekana Hakimi alikuwa akipata mshahara wake anampa mamake (anatoa mshahara wake kama zawadi kwa mamake). Na hivyo kumfanya mama kuwa na mali nyingi kumzidi Hakimi.

Hii haiwezi kuwa utetezi sahihi wa mama Hakimi. Tusaidie ndugu wakili.
 

Ni kweli kingereza cha sheria sina ukaribu nacho.
Lakini hicho cha shall na May hakinishindi.

Ukishaingiza busara kwenye sheria unajua maana yake?
 
Yawezekana Hakimi alikuwa akipata mshahara wake anampa mamake (anatoa mshahara wake kama zawadi kwa mamake). Na hivyo kumfanya mama kuwa na mali nyingi kumzidi Hakimi.

Hii haiwezi kuwa utetezi sahihi wa mama Hakimi. Tusaidie ndugu wakili.
Mimi sio Wakili ni Muhasibu nina CPA T,msc in finance na ni Certified information system auditor
 
Mume akitoa talaka anatoa matunzo kwa watoto wake tu.
Halazimishwi kumhudumia mtalaka wake, ila kama mtalaka anaishi na watoto atakuwa anafaidika kupitia huduma wanayo pewa watoto kama pesa ya matunzo.
Wewe unambishia kwa nadharia wakati upande wa Pili mwenzako anafanya kwa vitendo, anahudimiwa mke na mtoto hivi uliuona ule mkeka wa Jackline Mengi?
 

πŸ˜€πŸ˜€
 
Ni kweli kingereza cha sheria sina ukaribu nacho.
Lakini hicho cha shall na May hakinishindi.

Ukishaingiza busara kwenye sheria unajua maana yake?
  • kama kiingereza Cha shall au may hakikushindi Mbona umeshindwa kuelewa tangu mwanzo?
  • busara maana yake mahakama inaweza ikatoa hiyo amri au isitoe, na hiki nimekufurahisha tangu awali zaidi ya mara nne, wewe umesomea nini?
 
Wewe unambishia kwa nadharia wakati upande wa Pili mwenzako anafanya kwa vitendo, anahudimiwa mke na mtoto hivi uliuona ule mkeka wa Jackline Mengi?
Mimi mwanasheria pori nachokoza nijifunze tu.
Huu ubishi wa kuchokoza mada.
CC: BALENSIAGA
 
Pia mwanandoa anaweza kumiliki Mali binafisi, hiyo ipo kisheria na hiyo Mali haigawanywi
 

Ndio maana nikasema sheria huzijui, unaposema mazingira Fulani Fulani ambayo sheria haijayataja unamaanisha ndio hiyo Discretion ya Mahakama?πŸ˜€πŸ˜€

Hakuna kitu kama hicho.
Sio jukumu la mwanaume au Mwanamke kujua Hali ya Mtalaka wake, Ila ni jukumu lake kuangalia Hali ya Watoto wao.
Unazungumzia mawazo ya kijiweni tena ya Mwaka 47 Huko.

Hiyo shall au may au discretion ninaweza kutokujua maana yake katika Muktadha wa sheria.
Bahati nzuri ni mtaalamu wa Lugha hivyo najua kila neno linaweza kuwa na maana Fulani kulingana na Muktadha. Hivyo upo sahihi.
 
  • kama kiingereza Cha shall au may hakikushindi Mbona umeshindwa kuelewa tangu mwanzo?
  • busara maana yake mahakama inaweza ikatoa hiyo amri au isitoe, na hiki nimekufurahisha tangu awali zaidi ya mara nne, wewe umesomea nini?

Ndio maana nikakuambia unajua maana ya busara Kutumia kwenye sheria?

Nimekuambia Mimi ni mtaalamu wa Lugha.
Sasa Mimi mwenyewe ninashangaa sijui maana ya shall na May πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…