entry
JF-Expert Member
- Apr 11, 2018
- 286
- 539
Me sijui mkuu kuhusu hili gari ndio maana nimekaa kimya ila wajuzi wakitupa taarifa tunajaza maarifaEndelee vipi huku wewe mwenyewe hujachangia chochote kuhusiana na gari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sijui mkuu kuhusu hili gari ndio maana nimekaa kimya ila wajuzi wakitupa taarifa tunajaza maarifaEndelee vipi huku wewe mwenyewe hujachangia chochote kuhusiana na gari?
Unataka kujua nini?Me sijui mkuu kuhusu hili gari ndio maana nimekaa kimya ila wajuzi wakitupa taarifa tunajaza maarifa
Uzuri na ubaya wa kitu upo kwenye macho ya mhusika.Ila hii gari hua Ina sura mbaya ile kishenzi.
Nakubali mkuu.Uzuri na ubaya wa kitu upo kwenye macho ya mhusika.
Kwa sura hiyo hiyo ilishinda tuzo ya Motor Trend's SUV of the year kila mara Volvo walipotoa toleo jipya. Hadi sasa kuna matoleo mawili tu: la kwanza 2002-2014 na la pili ni 2015-to date.
Volvo 240 miaka hio ilikuepo around kwa Sana tu,naiheshimu na kuipenda kwa Sana tu hio gari.Kwa Volvo sina shaka nayo mzee ni gari kuliko hata zile za mjerumani sema tu haijakamata soko la wamatumbi
Ukita road usiwe na mpinzani uwe na gari kama ferrari au bagati.. tena yenye 800HP na Torque hata 756.. hapo utakuwa mbambe kwa asilimia zoteHapo kwenye speed vp wakuu barabaran ni bingwa Hana mpinzani au vp
Siyo lazima hizo. Volvo XC90 T8 iliyo turbocharged na supercharged kwa gari zilizomo kwenye barabara zetu hapa Minazini, unakuwa mbabe.Ukita road usiwe na mpinzani uwe na gari kama ferrari au bagati.. tena yenye 800HP na Torque hata 756.. hapo utakuwa mbambe kwa asilimia zote
Hiyo Audi RS6 unakuwa unashindana mwenyewe tu kwa hizi barabara zetu 😀😀😀Siyo lazima hizo. Volvo XC90 T8 iliyo turbocharged na supercharged kwa gari zilizomo kwenye barabara zetu hapa Minazini, unakuwa mbabe.
Ukishindwa hapo mbona hata akina Audi RS3, RS4, RS5, RS6 nazo unakuwa hauna mpinzani. Hapo sijasema akina Mercedes E63, S63 n.k.
Ferrari na Bugatti ni mbali sana huko.
Pia safety ya Volvo ipo juuuSiyo lazima hizo. Volvo XC90 T8 iliyo turbocharged na supercharged kwa gari zilizomo kwenye barabara zetu hapa Minazini, unakuwa mbabe.
Ukishindwa hapo mbona hata akina Audi RS3, RS4, RS5, RS6 nazo unakuwa hauna mpinzani. Hapo sijasema akina Mercedes E63, S63 n.k.
Ferrari na Bugatti ni mbali sana huko.
Hii ndinga juzi nimeiangalia kwa ukaribu ikiwa imepaki mahali...Kwa kweli niliielewa sana...[emoji38]Volvo 240 miaka hio ilikuepo around kwa Sana tu,naiheshimu na kuipenda kwa Sana tu hio gari.
Lkn ni vile tu kitu cha xc90 ,hakijawahi kunibariki.
Na Volvo ndio waliovumbua hizi seat belts tunazotumia sa hivi,waliziwekea patent ila baadae wakaacha ziwe free kwa co. Zote za utengenezaji magari ili watu wawe salama garini.Pia safety ya Volvo ipo juuu
Hahah Ina kasura kake flani hivi ka private.Hii ndinga juzi nimeiangalia kwa ukaribu ikiwa imepaki mahali...Kwa kweli niliielewa sana...[emoji38]
Na zina mwaga moto, kuna kamoja kalinitoa jasho kalikuwa sijui kama mazda gani na mie nilikuwa na Range Sport ya kutumwa aseee, ila nilikakomesha hakuja nione tena hadi naingia kidimbwi beach 😀😀😀😀.. tuliachana Shinyanga paleHahah Ina kasura kake flani hivi ka private.
In summary ukiwa na gari yenye kuanzia 450 hp unakuwa kwenye 1% ya magari zenye nguvu Tz.Siyo lazima hizo. Volvo XC90 T8 iliyo turbocharged na supercharged kwa gari zilizomo kwenye barabara zetu hapa Minazini, unakuwa mbabe.
Ukishindwa hapo mbona hata akina Audi RS3, RS4, RS5, RS6 nazo unakuwa hauna mpinzani. Hapo sijasema akina Mercedes E63, S63 n.k.
Ferrari na Bugatti ni mbali sana huko.
toyota hate team & inc [emoji23][emoji23][emoji23]Msweden hajawahi kosea kwenye hizo kazi , Ngoja waje Toyota fans utajuta
sasa hapo shida ni gari au fundi? kwann upeleke gari kwa mafundi vichochoroni?Shida ya hizi gari za mzungu ukizipeleka kwa fundi chini ya mwembe utasikia bro hivi hiki kidude huwa kinafanyaga nini...hapo hesabu hasara kesha vunja spea [emoji23]
seem like una uzoefu nayo mkuu. embu share experience tuifahamHiki chuma. Kinatengenezeka hata chini ya mwembe. Gari inavumilia shida sana. Highly underrated.