wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Amina mtumishi,CCM oyeeeeeeeeeeeeeee,CCM SafiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiNa siku wakinyooka na wewe usilie. Unapofurahia kuumiza wengine kisa Tulia kakwambia , usilie siku ukigeukiwa.
Hana lolote. Spika wa hovyo kuwahi kutokea Hana umakini wowote. Tangu alipo wakingia kifua kina Halima Mdee nilimuona kilaza wa mwisho asiyekuwa na maana. Yupo pale kwa Tumbo lake tu.
Kweli KABISA ....sura ni roho .nimekuelewa MkuuAliesema sura sio roho alitudanganya.
Hekima haisemi hivyo.. Hekima inatufundisha kuwa werevu kama nyoka! Chizi akikuibia nguo humkimbizi. ..Habari za muda huu wadau.
rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
M/kiti wa bavicha taifa na wenye viti wa mikoa na wilaya zote tanzania bara na visiwani tunaomba tumjibu huyu bibi TULIA ACKSON kuwa sisi kama vijana tupo tayari kwa lolote alilowaagiza vijana wake, tupo tayari kwa kazi. tutamfurahisha muda si mrefu, anatubip tumpigie kabsa,
uzi tayari,
nasema tuanze kujiandaa kujibu mashambulizi, wakianza tunamaliza.
nimemalizaaaaaaaaa tumsifu yesu kristuu
Wewe ni mweupe kichwani,Mungu alishughulika na Magufuli katulia Chatto
Anahamasisha watu qachukue sheria mkononiWakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.
Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.
Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676
========
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo
Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”
Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Ndio haikubaliki kabisa lakini Tulia anatafuta wa kufa nao, kuna kivuli kinamtisha halafu anaokiogopa sana.. Fear of the unknownhaikubaliki, haikubaliki haikubaliki haikubaliki haikubaliki haikubaliki haikubaliki haikubaliki nasema haikubaliki haikubaliki
Rwanda huruhusiwi kisheria hata kuchora katuni ya kumdhihaki kiongozi yeyote wa mihimili yote mitatu bila kujali wa juu au chiniHabari za muda huu wadau.
rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
M/kiti wa bavicha taifa na wenye viti wa mikoa na wilaya zote tanzania bara na visiwani tunaomba tumjibu huyu bibi TULIA ACKSON kuwa sisi kama vijana tupo tayari kwa lolote alilowaagiza vijana wake, tupo tayari kwa kazi. tutamfurahisha muda si mrefu, anatubip tumpigie kabsa,
uzi tayari,
nasema tuanze kujiandaa kujibu mashambulizi, wakianza tunamaliza.
nimemalizaaaaaaaaa tumsifu yesu kristuu
Naunga mkono hoja ,spika ni kiongozi mkubwa katika Taifa lolote , endapo rais,vice president, pm hawapo nchi inabaki mikononi mwakeHabari za muda huu wadau.
rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
M/kiti wa bavicha taifa na wenye viti wa mikoa na wilaya zote tanzania bara na visiwani tunaomba tumjibu huyu bibi TULIA ACKSON kuwa sisi kama vijana tupo tayari kwa lolote alilowaagiza vijana wake, tupo tayari kwa kazi. tutamfurahisha muda si mrefu, anatubip tumpigie kabsa,
uzi tayari,
nasema tuanze kujiandaa kujibu mashambulizi, wakianza tunamaliza.
nimemalizaaaaaaaaa tumsifu yesu kristuu
hapo yeye ameongea point gani sasa??? mbona kama mnakuwa hamna akili hivi?? learned kabsa uanaongea upuuzi huu???Rwanda huruhusiwi kisheria hata kuchora katuni ya kumdhihaki kiongozi yeyote wa mihimili yote mitatu bila kujali wa juu au chini
Wanaruhusu kuongea kistaarabu tu hawataki Matusi
Mfano nimekwambia wewe Raisi Bwege pointi gani ya maana nimeongea hapo?
Tulia yuko sahihi tufike mahali tuongee pointi tu sio matusi
hapa sio rwqnda sasa.Rwanda huruhusiwi kisheria hata kuchora katuni ya kumdhihaki kiongozi yeyote wa mihimili yote mitatu bila kujali wa juu au chini
Wanaruhusu kuongea kistaarabu tu hawataki Matusi
Mfano nimekwambia wewe Raisi Bwege pointi gani ya maana nimeongea hapo?
Tulia yuko sahihi tufike mahali tuongee pointi tu sio matusi
wewe hunaga akili ngoja nikuache.Usimwingize Yesu kwenye umbwiga wako