Spika Tulia Ackson: Mtu akimsema vibaya Rais nyooka naye, akinisema vibaya Nyooka naye
Hii kauli ya Sipika ndio iliyopelekea yule kijana aliyechoma picha yake yenye mchoro unaofanana na Rais apotee na asijulikane mpaka leo.

Mijitu ya ovyo kama hii huwezi kuikuta Kenya maana zamani wangekuwa washamalizana na wananchi
 
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.

Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.

Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676

========

Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Hivi anao ubavu hata wa kupigana na mwanmke mwenzie kikinuka?
 
Wanawake na taswira zao kwenye wakiwa kwenye madaraka!
 
Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’

View attachment 2375748
Humohumo ndo wanapochomokeaga nyoka... Waache vijana wabahatike na kesho zao zilizo tamu bana 😂👍
 
Huyu nae atakutana na mapigo mpaka atakuja kuuliza ndie amewahi kua speeker, ni swala la mda,

Nimekuelewa na ni kweli maana Imeandikwa: “Mwenyezi Mungu huwapinga wenye viburi .”

Hata yule ex sabufa hakujua amefikaje hapo alipo.
Mwenyezi Mungu akiamua ako na jinsi zake za kushusha kiburi cha mwanadamu na kuwanyoosha.
Imeandikwa: hautathibitika.
Mungu atainua mtesi mwenye jeuri zaidi yako akushughulikie akunuooshe.
Hiyo ndio kanuni Mojawapo ya jinsi ya kuingilia kati au kuamua ugomvi .
 
Mwanadamu yoyote akishajitia kiburi Basi Mungu huinika kumpinga.
Bali huwapa Neema wanyenyekevu wa moyo.
 
Nimekuelewa na ni kweli maana Imeandikwa: “Mwenyezi Mungu huwapinga wenye viburi .”

Hata yule ex sabufa hakujua amefikaje hapo alipo.
Mwenyezi Mungu akiamua ako na jinsi zake za kushusha kiburi cha mwanadamu na kuwanyoosha.
Imeandikwa: hautathibitika.
Mungu atainua mtesi mwenye jeuri zaidi yako akushughulikie akunuooshe.
Hiyo ndio kanuni Mojawapo ya jinsi ya kuingilia kati au kuamua ugomvi .
Upo sahii sana ,shida watu wakiinuliwa huona wengine wapumbavu
 
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.

Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.

Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676

========

Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
Mkuu ili kuwa Mbunge, Diwani na Mwenyelkiti wa Mtaa, sifa ya elimu ni kujua kusoma na kuandika. Mtu mmoja Aliniambia " hata kama una madigirii na madiploma makubwa makubwa ukichanganyikana na mimi wa ngumbaru katika kutatua/kupanga mipango basi jua kuwa usomi wako unapungua kidogo kidogo na hatimaye ndiyo haya tunayaona.
 
Mimi ni MTANGANYIKA, kura yangu ya Urais 2025 nitapiga KITANGANYIKA!
 
Kumbe ?!
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Huyo Tilia ni shetani ila huwa anajificha kwenye ulokole wakati ni mshirikina mkubwa. Bila shaka hata kwenye hii mipango ya utekaji anaweza kuwa ni mfadhili, mtia moyo na mshauri. Ana roho mbaya sana huyu mtu.
 
Wakuu nawaletea kideo, spika wa bunge akiwataka vijana kushughulika na yeyote anayemsema vibaya Rais, Mbunge, Diwani au Mwenyekiti wa mtaa kwa tiketi ya CCM.

Hivi karibuni kuna ndugu wa Temeke alisema wao kazi yao ni kuwashugulikia wakosoaji na wazee watawaombea radhi kwa watanzania.

Sijui nataka niseme nini ila pateni kideo hapo.
View attachment 2375676

========

Akihutubia Vijana wa CCM katika Jimbo lake, Mbunge wa Jimbo ya Mbeya Mjini ambaye pia ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewataka vijana wa Jimbo hilo kutoshiriki katika Kumsema vibaya, Rais na Viongozi wa Jimbo hilo

Amesema, “Isitokee Kijana yeyote anaungana na mtu yeyote anayemsema vibaya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Rais Samia ni Rais wa Nchi lakini pia ni mwenyekiti wa Chama chetu. Asitokee mtu yeyote wa Nje ya Chama, wa Ndani ya Chama akawa anamsema vibaya Rais halafu wewe ukamtazama, shughulika naye, CCM hoyeeeee”

Ameendelea, “hata mimi Mbunge wako akiwa ananisema vibaya nyooka naye, unajua sababu ni nini? Hata Diwani, Madiwani wote wa Mbeya Mjini sasa hivi ni CCM, hata akimsema vibaya Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, na yeye ni CCM, nyooka naye’
 
Wameufanyia kazi ushauri wake,hongera kwake.
Sasa roho yake imesuuzika.
 
Back
Top Bottom