TANESCO sweetheart, nini shida? Hiki kipande chetu kimebarikiwa, ila sku hizi mmetuanzishia saa 1 mpk saa 3. Tunamiss taarifa za habari aisee.
 
Habari ndugu Abel asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, ukishapata mkandarasi na akisha jaza taarifa zako kwenye mfumo nadani ya siku 7 za kazi surveyor anafika na kufanya tathmini kisha mteja anasubiri kupatiwa control number kwa ajili ya malipo, tafadhali tupatie namba ya ombi kwa ufutiliaji zaidi.^OK
 
TANESCO sweetheart, nini shida? Hiki kipande chetu kimebarikiwa, ila sku hizi mmetuanzishia saa 1 mpk saa 3. Tunamiss taarifa za habari aisee.
Habari ndugu mteja asante kwa kuwasiliana nasi na pole kwa changamoto, tafadhali tufahamishe eneo lenye changamoto kwa ufuatiliaji zaidi.^OK
 
Yaani huu umeme ni kama tunapewa kwa hisani…..tanesco mjitafakari, tunalipia huduma haupewi bure….I think you’re in suspended animation muda wowote chali
 
Naomba Msaada kuunganishiwa umeme, Nimelipia tangia tarehe 20/1)2024
Mahali : MTWARA MJINI
Mtaa: Ufukoni stendi
Jina. AUREUS CHARLES NDIMBO
Simu. 0683420332
Nitashukuru sana
 
Naomba Msaada kuunganishiwa umeme, Nimelipia tangia tarehe 20/1)2023
Mahali : MTWARA MJINI
Mtaa: Ufukoni stendi
Jina. AUREUS CHARLES NDIMBO
Simu. 0683420332
Nitashukuru sana
No sory, Ni tarehe 20/1/2024
 
Naomba Msaada kuunganishiwa umeme, Nimelipia tangia tarehe 20/1)2023
Mahali : MTWARA MJINI
Mtaa: Ufukoni stendi
Jina. AUREUS CHARLES NDIMBO
Simu. 0683420332
Nitashukuru sana
Habari ndugu mteja ahsante kwa kuwasiliana na TANESCO huduma kwa wateja na pole kwa changamoto, ombilako lenye namba 021023-0921 na jina AUREUS CHARLES NDIMBO, lipo hatua ya kuunganishwa na huduma wakati wowote kuanzia sasa watalamu wetu watakufikia na kukupatia huduma.^OK
 
TANESCO nimenunua umeme na hamniletei token tatizo nini Lakin?
Jana wamenunua WA elf 1000
Hamjaleta na Leo nimenunua WA elf 2000 bado sipat umeme shida iko wapi
 
nyie TANESCO ni shirika la wajinga
 
[mention]TANESCO [/mention] mnakwamisha maendeleo ya nchi , huduma gani mbovu kiasi hiki. Umeme unakatika daily? Lini mtamaliza matatizo haya?
 
Ok thanks kwa majibu mazuri. I mark this date nasubiri
 
Naomba Msaada kuunganishiwa umeme, Nimelipia tangia tarehe 20/1)2023
Mahali : MTWARA MJINI
Mtaa: Ufukoni stendi
Jina. AUREUS CHARLES NDIMBO
Simu. 0683420332
Nitashukuru sana
Achana na hizi mifugo nunua sola panel kuepuka stres
 
Watu wa hovyo sana nyi wajinga mnachezea chezea umeme huko bila taarifa tunaunguza vifaa vya umeme hizi hasara mtagidia??? TANESCO
 
Huku kila siku wanakata
Kama siku ya mgao wanadai kuna hitilafu wataalamu wanashughulikia, hapo mpaka jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…