TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri
MAHANJU
Unapoandika jitahidi kufanya uchambuzi wa mambo unayoandika. Kuhusu suala la umeme, huoni jitihada zinazofanywa. Ule mradi wa stiglers george unazani utaingiza megawati ngapi katika gridi ya taifa? Tatizo vijana wa chadema kutamani jambo fulani litokee kama ndoto bila kuwekeza jitihada kufikia hiyo ndoto.
Yaani kila anayehoji jambo ni CHADEMA?,ndo uwezo wenu ulipokomea kufikiri?,..kama CHADEMA wanahoji hv basi wanaakili kuwazidi wapeni nchi wataipeleka mbele
 
Na hii tabia ya TANESCO kuleta umeme mdogo, tutaunguziana vifaa jamani, na usawa huu vyuma vimekaza kuanza kununua vifaa vipya.
 
Na hii tabia ya TANESCO kuleta umeme mdogo, tutaunguziana vifaa jamani, na usawa huu vyuma vimekaza kuanza kununua vifaa vipya.
...
...bora umesema kwa sababu mambumbu yamejaa ....Fidia wange firisika
 
Je wale walioambiwa waandike barua pale umeme ukikatika wamechukuliwa hatua gani? but why wanasiasa wanapenda kutoa kauli ambazo hawatekelezi?
 
Yaani kila anayehoji jambo ni CHADEMA?,ndo uwezo wenu ulipokomea kufikiri?,..kama CHADEMA wanahoji hv basi wanaakili kuwazidi wapeni nchi wataipeleka mbele
Waambie wakazane kuleta sera zenye mvuto zitakazowavutia wananchi wawape rizaa yao.
 
Tanesco chali, hoi taabani. Umeme wa mgao umerudi kwa kishindo ktk nchi ya kusadikika ya viwanda.
 
MAHANJU
Kuna taarifa imetumwa kwamba kumetokea hitilafu ktk Grid ya Taifa iliyopelekea umeme kukatika muda wa saa moja na dakika mbili leo asubuhi na tatizo hilo linashughulikiwa sasa wewe unayeongea sana mara CCM imefanya hivi,kwani hao walio nje ya CCM si na wao walikuwa CCM na bado matatizo haya ya umeme tulikuwa nayo. Kipindi Lowassa akiwa Waziri Mkuu alisema ataleta umeme kutoka Indonesia sijui ulikuwa ni umeme wa kuchota na ndoo lkn hatukuuona hd anatimuliwa madarakani kwa ufisadi wa RICHMOND. Sumaye huyo mlonaye ndo ziro kabisa kakaa kwenye kiti cha Uwaziri Mkuu miaka kumi kuliko Mawaziri Wakuu wote tangu Tanganyika ipate Uhuru lkn hatukuona la maana alilofanya sasa leo hii ndo ataweza kutatua matatizo ya umeme? Tujadili matatizo ni kwa namna gani tuyaondoe lkn ukiongelea chama mimi japo si mwana CCM lkn naona hakuna chama mbadala wa kuiongoza Serikali bali nawaona walioko huko upande wa pili ni makanjanja tu..!!!
Yani umetiririka weeee mwishowe umeharibu kabisaa.
Et hakuna mbadala hizi ndio akili mlizonazo nyie Lumumba. [emoji35] [emoji35]
 
Kuna hitilafu imetokea tunaifanyia kazi mpendwa mteja
Watu wengi wanategemea umeme kuendesha maisha yao. Kuna mafund welding, salon, mafund simu, pc, stationery, wenye mashine kukoboa na kusaga nafaka, wafanyabiashara wa samaki, barafu na wengineo.

Hawa wote wanategemea umeme kuendesha maisha yao kwahiyo hakikishen umeme wa uhakika uwepo ili watu waweze kupata ridhiki zao.
 
Huujui umeme ndio maana wabwatuka swali kama hilo. Vitu hivi vya umeme na moto lolote laweza kutokea wakati wowote.
Sasa kwa nini mli mtumbua yule jamaa kule kidatu sijui mtera?
Mlisema mnahujumiwa vipi hii sasa!!!
 
cha ajabu ni pale rais apo zungukazunguka around the corner umeme haukatiki hata nukta
 
MAHANJU
JIULIZA SWALI hivi watu wenye suti nyeusi wameshindwa kuugundua na kuuzuia ufisadi wa bandaarini?,kwa nini huenda nikubadili mada ya uchaguzi ili watu wasiifuatilie
 
Watu wengi wanategemea umeme kuendesha maisha yao. Kuna mafund welding, salon, mafund simu, pc, stationery, wenye mashine kukoboa na kusaga nafaka, wafanyabiashara wa samaki, barafu na wengineo. Hawa wote wanategemea umeme kuendesha maisha yao kwahiyo hakikishen umeme wa uhakika uwepo ili watu waweze kupata ridhiki zao.
Hata mimi hapa ninaye bet online tayari wameshaniharibia mipango yangu.
 
Wafanyakazi wamefanyiwa ongezeko la mshahara la 6500! Walisema tunaenda uchumi wa kati kwaajili ya gas,sasaiv gas haiongelewi tena! Mgao wa umeme nchi nzima!Halaf watu kila siku kuzunguka bandarini na kuyaonyesha magari ya 2015
 
Back
Top Bottom