johnmashilatu
JF-Expert Member
- Sep 16, 2010
- 841
- 909
Meneja wa Nyamagana ama hafahamu au ana maslahi katika kinachoendelea kwenye mradi wa REA maeneo ya Bulale na Kigoto kata ya Buhongwa, Nyamagana.
Kuna upendeleo, kujuana na rushwa inayoendelea katika mradi huo chini ya surveyor, Oswald akishirikiana na kijana aitwaye Khani ambao wamekuwa wakigawa umeme kwa upendeleo.
Katika eneo LA tarazo wawili hawa wanaunga umeme kwa watu wao ambao huenda wanapokea rushwa, kwani haieleweki iweje nyumba kadhaa ambazo wenyewe wamekamilisha taratibu, zirukwe na kwenda kufunga katika zile zilizoko ndani.
Inawezekana meneja anahusika na hili kwani haiingii akilini, akashindwa kuwaita waliofunga umeme na kuwasilisha fomu ofisini kwake na badala yake, wachache wamekuwa wakiitwa na kupewa control number kwa ajili ya kulipia na ukiuuliza utapewa jibu kuwa " tulitoa maji ya kunywa"
Binafsi nimefika ofisini kwake kumweleza juu ya baadhi kufungiwa umeme na wengineckurukwa lakini naona suala hili linaendelea.
Kuna upendeleo, kujuana na rushwa inayoendelea katika mradi huo chini ya surveyor, Oswald akishirikiana na kijana aitwaye Khani ambao wamekuwa wakigawa umeme kwa upendeleo.
Katika eneo LA tarazo wawili hawa wanaunga umeme kwa watu wao ambao huenda wanapokea rushwa, kwani haieleweki iweje nyumba kadhaa ambazo wenyewe wamekamilisha taratibu, zirukwe na kwenda kufunga katika zile zilizoko ndani.
Inawezekana meneja anahusika na hili kwani haiingii akilini, akashindwa kuwaita waliofunga umeme na kuwasilisha fomu ofisini kwake na badala yake, wachache wamekuwa wakiitwa na kupewa control number kwa ajili ya kulipia na ukiuuliza utapewa jibu kuwa " tulitoa maji ya kunywa"
Binafsi nimefika ofisini kwake kumweleza juu ya baadhi kufungiwa umeme na wengineckurukwa lakini naona suala hili linaendelea.