Kwenu huko😂Miaka Saba alikuwa mume au mlinz au houseboy
Hapana sio kwetu na Wala hakna mtanga kwenye ukoo wetuKwenu huko
Ndiyo huwa iko hivo.....Wanawake wengi wanaonewa na wanaume ila akibahatika mmoja wa kuonea mwanaume anafanya hadi analipia wanawake wengine 1000 wasio na ujanja wa kumuinamisha mwanaume
😂😂😂 kuna watu wana watesi hatari sanaMwanaume akiwa mpole sana anaboa
Anakuwa kama zezeta
Bro mali zangu zinamilikiwa na trusts pamoja na entities, sasa ikitokea mwanamke anadai kugawana mali basi tuganwane nguo ninazomiliki tu.Kuweni makini mkitoka bara kuowa Tanga hasa kama una Mali kidogo, huyo sio ajili zake atakua katengenezwa.
Sasa unaziitaje mali zako?Bro mali zangu zinamilikiwa na trusts pamoja na entities, sasa ikitokea mwanamke anadai kugawana mali basi tuganwane nguo ninazomiliki tu.
Kwani entity ni ya nani?
Siku zote mwanamke anapenda mwanaume mhuni.Mwanaume akiwa mpole sana anaboa
Anakuwa kama zezeta
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sa inategemea bi mama alimpaga nini hadi akapoa hivyoo
Itakuwa alilishwa kitovu cha mwanae huyo maana naskia limbwata hlo kali kama nini