joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hata kama ni wewe ungeweza kweli? Mtuhurumie jamani!Duuh miaka 7 kavumiliaπ€£π€£
Huyo baba bwege hakua hata na mchepuko πHata kama ni wewe ungeweza kweli? Mtuhurumie jamani!
Kwahio bwege tena jamani, anavyompenda mkewe hivyo π€£π€£π€£Huyo baba bwege hakua hata na mchepuko π
Huo ni upuuzi sio upendo π€£π€£π€£Kwahio bwege tena jamani, anavyompenda mkewe hivyo π€£π€£π€£
Kuporwa nyumba mchezo, lazima ujikaze tu, la sivyo nyumba inakwenda na maji.Duuh miaka 7 kavumiliaπ€£π€£
Hapo ndipo wajuba tunapita na point 3. Siwezi kuosha vyombo kichoko utakula mbata hizo hutaamini. πKabisa sio mwanaume amepoa poa mwanaume awe na kaubabe sio kuosha osha vyombo kama mwali ππ
Si amechagua kuwa jentromeni π€£ thats the price you pay to be a jentromeni in bongo tzHuyo mwanaume alilishwa libwata. Ila hata kama ni libwata huyo mwanamke asingemtesa hivo huyo mwanaume khaaah?
Yaani adeki , aoshe vyombo, amfulie na aleee watoto na bado umnyime unyumba jamani?
π€£ Huyo mzee ni boya mmoja. Mie kunifanya hivyo labda uniroge kwanzaWanawake wengi wanaonewa na wanaume ila akibahatika mmoja wa kuonea mwanaume anafanya hadi analipia wanawake wengine 1000 wasio na ujanja wa kumuinamisha mwanaume
haha pata pata shule.Kumbe Kuna lingine wanachakachua ππ
Mwanamke ni sawa na mtoto, kumdekeza kupitiliza ni kumuharibu.Bwana Saidi mkazi wa Jijini Tanga anaelezea alivyonyanyasika na mkewe ambaye kwa sasa amemuacha na kuivunja ndoa yao kwa Kadhi. Huku bado manyanyaso hayo yakiendelea baada ya mkewe kutaka nyumba waliokuwa wakiishi iuzwe wagawane mali.
Majirani wamesema mwanaume huyo alikuwa akimpenda mkewe hadi kufikia hatua ya kumfulia nguo zake, kupiga deki, kuchota maji, kupeleka watoto kliniki, kumfungulia maduka manne sambamba na kumpa gari lakini haikuwa dawa kwake hatimaye ameamua kumwacha.
Mwanaume huyo anaomba msaada asaidiwe.
View attachment 2524869
------
Mwanaume pichani anaomba msaada baada ya mateso makali aliyopitia kwenye ndoa yake ikiwemo kunyimwa unyumba kwa miaka saba mbali ya mapenzi makubwa aliyompatia mke wake ikiwemo kudeki nyumba, kumfulia nguo, kumfungulia maduka pamoja na kumnunulia gari.
Pia anadai yeye ndio aliyekuwa anawapeleka wanae klinik pindi walipokuwa wadogo.
Cha kushangaza mbali na mapenzi yote aliyomuonesha Anadai mkewe ameibuka mahakamani kuomba talaka na mahakama imeamua nyumba iuzwe wagawane mali bila kujali kwqmba nyumba hiyo ni mali ya watoto.
Bwana said anaomba msaada nyumba Ibaki isiuzwe kwakuwa watoto watakosa mahala pa kuishi.
Wakataa ndoa nawaona leo wanavyojishindia points
Ila jaman mwanaume wa kufanya yote hayo anakeraaa. Mwanaume usilegee sana kwa mwanamke... hadi kudeki??? Hapana. Wa hivyo anaboa.
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ SIMP medal awarded to him. Huo ujinga sijui mwanamke wangu ataanzia wapi maanaFala sana. Sasa unapiga deki, unaosha vyombo, unapeleka na watoto clinic hapo uanaume wako upo wapi? Hakuna mwanamke anayejitambua atakaa na wewe hata iweje hayo sio mapenzi ni maigizo ya mapenzi.
Mwanamke anayejitambua atakwambia kuwa wewe umeacha nafasi yako sasa unaingia nafasi yake, yeye alikuwa anahitaji mwanaume wa kumpelekesha na haya maisha sio mwanaume ambaye anakaa nae kimaigizo kama ndezi. View attachment 2525843
Nakadori njoo kwangu mie ukizingua unachezea makofi lkn baadae nakubembeleza na weekend tunatoka outIla jaman mwanaume wa kufanya yote hayo anakeraaa. Mwanaume usilegee sana kwa mwanamke... hadi kudeki??? Hapana. Wa hivyo anaboa.
πππhaha pata pata shule.
πππππKuporwa nyumba mchezo, lazima ujikaze tu, la sivyo nyumba inakwenda na maji.